Matumizi ya pesa ya kigeni kusitishwa kwenye bidhaa na huduma yoyote tanzania..amri sio ombi

undugukazi

JF-Expert Member
Sep 15, 2011
315
82
Natamani hii ingetokea kweli...ni ndoto zangu tu ila kiukweli natamani sana...hata serena tukienda tulipie tzs kupata vyumba, maduka yote, kila kona ya nchi...
 
Hii pia nilishawahi kuulizwa na wateja wangu kua kwanini hamuidhamini hela yenu?
 
Ukiliangalia kimasihara unaeza hisi ni suala dogo ila matokeo yake ni makubwa sana...tunashindwa thamini pesa yetu na bidhaa na huduma zinakua juu sana kwa ajili hiyo...coz shilingi ikishuka thamani dola au fedha yoyote ya kigeni itapanda thamani na kuzidisha ugumu wa maisha...
 
Ukiliangalia kimasihara unaeza hisi ni suala dogo ila matokeo yake ni makubwa sana...tunashindwa thamini pesa yetu na bidhaa na huduma zinakua juu sana kwa ajili hiyo...coz shilingi ikishuka thamani dola au fedha yoyote ya kigeni itapanda thamani na kuzidisha ugumu wa maisha...

pesa zetu zenyewe hazitudhamini, sisi tutazithamini vp? si unaona zinavyotukimbia na kutufanya tuwe na njaa za tumboni hadi akilini?
 
Inaiuma sana sana asikwambie mtu.....yaani hata nyumba ya kupanga eti mtu anataka dollary.......pumbavu kabisa. Halafu sitashangaaa akija mpuuzi mwingine nakusema kuwa...ukions hivyo ujue nchi ina akiba ya kutosha. Waapiiiii
 
huna lolote,unataka watumalize hawa majambazi wanaotumia boxer motorbike
Natamani hii ingetokea kweli...ni ndoto zangu tu ila kiukweli natamani sana...hata serena tukienda tulipie tzs kupata vyumba, maduka yote, kila kona ya nchi...
 
wewe nawe ukisoma huelewi anghrrrrrrry, amekwambia ni ndoto zke anatamani iwe hivyo hata mimi natamani iwe hivyo. Why dola? kama unataka source ni yeye mwenyewe.
Rubi hii ndoto niliwahi kuisikia kama itakuwa kweli muda mrefu uliopita kupitia kinywa cha gavana mkuu wa benki kuu alipoteuliwa. Mimi nimechoka kuota. Nilifikiri wamefanya kweli. Ahadi isiyotimizwa ni ahadi hewa, na ndoto isiyotimia ni ndoto...........?
 
Last edited by a moderator:
Inatakiwa kuwa hivyo tu na si vinginevyo kwanini hela ya wengine itumike nchini kwetu jamani..sasa hizi ni dharau kubwa sana kufanya biashara ndani ya nchi kwa kutumia hela za watu wengine wakati hela yetu ipo!! inamana washauri wa Rais mie huwa siwaelewi hawa ni nani huwa anawachagua na huwa akifanya uchaguzi anatumia na vigezo gani? mbona kama nchi hii haina wasomi jamani!! wanapoenda huko kwenye ma-nchi ya watu huko wanaona hayo yanafanyika.kuweni makini jamani hela yetu iwe na mzunguko stop kabisa kutumia hela za watu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom