Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,539
- 10,007
Copy and paste
Sunday news ๐๐ฝ ya kuanzia siku ๐
Serikali ya mahodari inaendelea kupaiza uchumi! Sasa kuna soko la magendo (haikuanza leo ilianza 2018 walipopora fedha na kufunga maduka ya fedha)
Sasa eti serikali inapambana na soko hili
Ila ukweli ni huu (numbers donโt lie) ๐๐ฝ
SASA
Manunuzi ya fedha za kigeni kupitia maduka ya fedha ๐๐ฝ $197.18 million
Mauzo ๐๐ฝ $86.98 million
Tukilinganisha December 31, 2018
Manunuzi ๐๐ฝ$722.9 million
Mauzo ๐๐ฝ $415.2 million
Si hamtaki soko huria na mnajua kila kitu?! Haya pambaneni ila kwa data hii ni dhahiri thamani ya shilingi katika soko huria siyo hii wanayotutangazia - watu hawataki shilingi wanasaka ๐ต๐ต ila si kwa bei ya kupangiwa! ๐ And thereโs nothing you can do about it zaidi ya wengi wape ๐๐ฝ
Sunday news ๐๐ฝ ya kuanzia siku ๐
Serikali ya mahodari inaendelea kupaiza uchumi! Sasa kuna soko la magendo (haikuanza leo ilianza 2018 walipopora fedha na kufunga maduka ya fedha)
Sasa eti serikali inapambana na soko hili
Ila ukweli ni huu (numbers donโt lie) ๐๐ฝ
SASA
Manunuzi ya fedha za kigeni kupitia maduka ya fedha ๐๐ฝ $197.18 million
Mauzo ๐๐ฝ $86.98 million
Tukilinganisha December 31, 2018
Manunuzi ๐๐ฝ$722.9 million
Mauzo ๐๐ฝ $415.2 million
Si hamtaki soko huria na mnajua kila kitu?! Haya pambaneni ila kwa data hii ni dhahiri thamani ya shilingi katika soko huria siyo hii wanayotutangazia - watu hawataki shilingi wanasaka ๐ต๐ต ila si kwa bei ya kupangiwa! ๐ And thereโs nothing you can do about it zaidi ya wengi wape ๐๐ฝ