Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
More than dictatorship!Huu utawala sijui tuuiteje?!
tupo pamoja mwana taluma mwenzanguAsante Mwanahabari huru.
P
kunavitu vya aibu sana sana na nihatari sana sanaAsante Mwanahabari huru.
Tanzania tunaendelea kuzidi kuwa nchi ya ajabu, mtuhumiwa amekosekana, anashikwa mama yake mzazi ambaye hana kosa lolote na kumshikilia hadi mtuhumiwa apatikane!. Hii ni abduction na kumtumia mtoto wake kama ransom!.
P