luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,868
Kumekuwa na kasumba kwa baadhi ya wa Tanzania wa kada mbali mbali pale wanapo elezea jambo sasa inapokuja kuli tafsiri ilo neno au msamiati kutoka English kuja kiswahili, au kiswa kwenda Eng utasikia mtu anasema eti kwa lugha ya kitalaam inaitwa.
Mfano:
Mtalaam wa lishe labda anaelezea kiwango cha lishe kilichopo ktk bidhaa flani. Sasa una kuta anaelezea iyo alafu ana switch eti anasema kwa lugha ya kitalaam kinaitwa NUTRITION VALUE. Sijui wadau mmeelewa.
Mfano wa pili una kuta mtalaam wa kada ya ukaguzi wa majanga. Anaelezea hatua za ukaguzi sasa anafikia hatua ya kuelezea hatua ya chujio la athari sasa hajui basi ana chomekea eti au kwa lugha ya kitalaam inaitwa SCREENING. Kumbe hhapo ni msamiati tu na sio lugha ya kitaalaam.
Tuache izi mambo wa Tanzania.. tabia ya kuiita misamiati ya kingereza eti lugha ya kitaalam ni uchuro.
Mfano:
Mtalaam wa lishe labda anaelezea kiwango cha lishe kilichopo ktk bidhaa flani. Sasa una kuta anaelezea iyo alafu ana switch eti anasema kwa lugha ya kitalaam kinaitwa NUTRITION VALUE. Sijui wadau mmeelewa.
Mfano wa pili una kuta mtalaam wa kada ya ukaguzi wa majanga. Anaelezea hatua za ukaguzi sasa anafikia hatua ya kuelezea hatua ya chujio la athari sasa hajui basi ana chomekea eti au kwa lugha ya kitalaam inaitwa SCREENING. Kumbe hhapo ni msamiati tu na sio lugha ya kitaalaam.
Tuache izi mambo wa Tanzania.. tabia ya kuiita misamiati ya kingereza eti lugha ya kitaalam ni uchuro.