Kuna matumizi yasiyo halali ya neno bore ktk lugha kiswahili.Ikumbukwe kwamba neno hilo ni la kiingereza likimaanisha a-kuchosha.cha ajabu ni kuwa neno hilo linaambishwa kwa kuongezewa kiambishi ka ili kuzalisha neno boreka likimaanisha kuchoka.upotoshaji huu wa lugha ya kiswahili hadi lini?