kipenda12
Member
- Aug 6, 2018
- 31
- 19
Watu wengi wasiokuwa na mafanikio ni Wale wasio jua na muda. Muda ni mali hawa ni wale wanaoona jua linachomoza na kuzama na pengine wanapenda lizame mapema waende kulala.
Maana hawana cha kufanya fursa hii inakupa kutambua kuwa muda ni maliasili yako ambayo unapatwa kuitumia katika kujenga maisha yako si busara hata mara moja kuwa na matumizi mabaya ya muda wakati kuna mambo mengi tu ya kufanya.
Tena huenda tu ndo umeanza safari za kutafuta maisha. Halafu unakuwa mtu wa kukosa la kufanya badala ya kukosa muda wa kufanya mambo yako mengi.
Ni heri ungechagua jambo moja kati ya mambo yanayopendwa na akili yako ukawa unalifanya wakati wote ili hapo baadae uwe mahiri kwalo pengine linaweza kuja kukutendea vyema katika maisha yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maana hawana cha kufanya fursa hii inakupa kutambua kuwa muda ni maliasili yako ambayo unapatwa kuitumia katika kujenga maisha yako si busara hata mara moja kuwa na matumizi mabaya ya muda wakati kuna mambo mengi tu ya kufanya.
Tena huenda tu ndo umeanza safari za kutafuta maisha. Halafu unakuwa mtu wa kukosa la kufanya badala ya kukosa muda wa kufanya mambo yako mengi.
Ni heri ungechagua jambo moja kati ya mambo yanayopendwa na akili yako ukawa unalifanya wakati wote ili hapo baadae uwe mahiri kwalo pengine linaweza kuja kukutendea vyema katika maisha yako.
Sent using Jamii Forums mobile app