Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Tafadhali simu yako simply ni GSM modem, iunganishe na internet na itumie kama universal modem. Mfano ukipata Tigo XTREME pack, una dk 15 za kuongea, sms 100, na mb 50 ndani ya masaa 24, kwa nini usitumie simu kama modem kama mimi hapa ili ufaidi hizo 50 mb or whatever package.
Lakini hii ni kwa matumizi ya kawaida sio kudownload mafile makubwa.
Lakini hii ni kwa matumizi ya kawaida sio kudownload mafile makubwa.