hengo
JF-Expert Member
- Jun 6, 2011
- 402
- 50
Jamani kutoka na hali ya uchumi kuzi kuwa ngumu, nafikiria namna ya kuchakachua modemu ili niweze kutumia mtendao wowote nitakaokuwa na uwezo nao kila makapuni ya simu yanavyobadilisha gharama za vifurushi.
Tafadhali wakuu nawaombeni mnielekeze namna ya kuzichakachua,nina AIRTEL na ZANTEL
Tafadhali wakuu nawaombeni mnielekeze namna ya kuzichakachua,nina AIRTEL na ZANTEL