Zijue faida za Mmea wa Mlonge, Jitibu magonjwa 300 kwa kutumia mlonge

c ndo hapo sasa,ukizingatia haina madhara,na inasemekana huu mmea unatibu magonjwa mengi.Mimi nilishawishika coz aliye nicomvince alinambia inatibu imbalance homon,na inawezekana siku zaku kutokuwa sasa inasababishwa na hiyo.nikajaribu na nikaona ime work.sasa why nisishuhudie na wezangu wakajaribu
Ulitumia kwa mfumo upi mdada?? mbegu au unga ? kuna mwenzio nae ana same tatzo
 
Nimeanza jana kunywa majani ya mlonge km tiba ya vidonda vya tumbo

Ninaendesha kiasi sio sana

Ukiinywa inalevya flani hivi

Japo bado mapema lakini juzi nilikuwa hali mbaya mbaya lakini kwa jana na leo naiona nafuu tena pasipo kumeza dawa za hospitali

Miti ni dawa hatujui tu napoishi hiyo milonge ipo ya kutosha na wenyeji hawajui kabisaa sifa za mti huu

Sent using Jamii Forums mobile app
wapi huko tuje tuchume na sie tujitibu mkuu
 
Wakuu kuna thread inazungumzia kwa kirefu kuhusu Mlonge niliiona juzi lakini mda huu nina shida nayo sana ila nashindwa kuipata.

ilikuwa kwenye jukaa hili hili.

Msaada tafadhari cadey na member wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilihisi dalili za mafua nikatafuna majani yake - loh! Chafya kibao, baada ya muda Niko fresh
 
Uwooo apo dawa nzurii
Starr_080609-7911_Moringa_oleifera.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Message…habari wana jamii .nimekuwa nikisikia sifa nyingi za mmea wa mlonge ,moja wapo ni kutumika kam mboga hasa majani yake.kwa huku kwetu mwisho wa leli hizo ni kama hadidhi,wengi hatufaham ,Msaada kwa yoyote anae jua namna ya kuandaa pishi hili anisaidie niweze kujaribu c mnajua uhondo wa ngoma ...........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom