Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Jamani mi naomba tu kukumbushwa maana sio kila kitu unaweza kukijua. Miaka ya nyuma niliwahi kusikia kuwa kuna muda maalumu wa matumizi ya magari ya serikali na umma.
Sheria hii ilikuwa kali sana kiasi cha kuwafanya mabosi kutumia magari yao binafsi.
Sasa ninachouliza , Je, sheria hii bado inatumika ama ilishabadilishwa? nauliza hivi kwa kuwa naona magari ya serekali kwenye harusi ama ubarikio mchana na hata usiku mwingi pia.
Je, wakati ka huu gari huandikiwa liko wapi na kwa kazi gani.
Kama sheria haijabadilishwa kwa nini wanaotoa vibali kama hivi (Maana dereva hawezi kujiamulia tu) wasichukuliwe hatua za kinidhamu ili kunusuru makali ya majasho ya wavuja jasho wa nchi hii. Kwa wale waliokwazika naomba mniwie radhi.
Sheria hii ilikuwa kali sana kiasi cha kuwafanya mabosi kutumia magari yao binafsi.
Sasa ninachouliza , Je, sheria hii bado inatumika ama ilishabadilishwa? nauliza hivi kwa kuwa naona magari ya serekali kwenye harusi ama ubarikio mchana na hata usiku mwingi pia.
Je, wakati ka huu gari huandikiwa liko wapi na kwa kazi gani.
Kama sheria haijabadilishwa kwa nini wanaotoa vibali kama hivi (Maana dereva hawezi kujiamulia tu) wasichukuliwe hatua za kinidhamu ili kunusuru makali ya majasho ya wavuja jasho wa nchi hii. Kwa wale waliokwazika naomba mniwie radhi.