toplemon JF-Expert Member Mar 26, 2017 4,581 4,626 Dec 9, 2017 #1 Wakuu karibuni sana tuchanganue hili Eti kati ya kutumia mafuta taa vs gas kipi nafuu?? karibuni tulijadili hili
Wakuu karibuni sana tuchanganue hili Eti kati ya kutumia mafuta taa vs gas kipi nafuu?? karibuni tulijadili hili
Da'Vinci JF-Expert Member Dec 1, 2016 35,630 106,608 Dec 9, 2017 #3 Pumba na mavi ya ng'ombe ni rahisi zaidi.. Very affordable unafanya kufata ngombe walipo pita tu..
MBITIYAZA JF-Expert Member Jan 22, 2017 14,950 26,049 Dec 9, 2017 #4 kuna watu bado wanatumia mafuta ya taa had leo kweli? mie chakula chake kilishanishinda !iwe chai au wali siwezi !unanuka mafuta !hapana
kuna watu bado wanatumia mafuta ya taa had leo kweli? mie chakula chake kilishanishinda !iwe chai au wali siwezi !unanuka mafuta !hapana
H Hepache Member Sep 9, 2017 37 20 Dec 9, 2017 #5 MBITIYAZA said: kuna watu bado wanatumia mafuta ya taa had leo kweli? mie chakula chake kilishanishinda !iwe chai au wali siwezi !unanuka mafuta !hapana Click to expand... Gesi ni rahisi zaidi.
MBITIYAZA said: kuna watu bado wanatumia mafuta ya taa had leo kweli? mie chakula chake kilishanishinda !iwe chai au wali siwezi !unanuka mafuta !hapana Click to expand... Gesi ni rahisi zaidi.
Behaviourist JF-Expert Member Apr 8, 2016 39,901 95,401 Dec 9, 2017 #6 Mafuta ya taa ni nishati chafu!!......yanachafua mazingira pamoja na afya ya binadamu na ni gali pia!!......don't mention it here!!
Mafuta ya taa ni nishati chafu!!......yanachafua mazingira pamoja na afya ya binadamu na ni gali pia!!......don't mention it here!!
Mzigdash JF-Expert Member Jun 21, 2015 440 375 Dec 9, 2017 #8 gesi ni afordable zaidi maybe sijui wewe unapatikana wapi