ASHA NGEDELE
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 784
- 326
Habari wadau.
Naomba ushauri kwa mwenye ujuzi na gari za Nissan Xtrail model ya 2002 sababu ninahisi ya kwangu inatumia mafuta mengi sana. Nina miezi mitatu nayo toka niiagize kutoka japan.
Ulaji wake: 6.5km kwa lita (nishaipima mara tatu kwa kujaza full tank na kuhesabu mileage kabla ya refill)
Mileage: 120,000km
Check engine: Haiwaki kwahio nina-assume sensors zote ziko sawa.
Plugs: Nimeshabadili na zote zinachoma vizuri
Gearbox: Iko poa sababu gear zinabadilika kwa haraka tu.
Service: Nishafanya.
Naomba yeyote mwenye kujua nini cha zaida natakiwa kufanya ili walau ifike 8.5km kwa lita moja ya petroli.
Asante
Naomba ushauri kwa mwenye ujuzi na gari za Nissan Xtrail model ya 2002 sababu ninahisi ya kwangu inatumia mafuta mengi sana. Nina miezi mitatu nayo toka niiagize kutoka japan.
Ulaji wake: 6.5km kwa lita (nishaipima mara tatu kwa kujaza full tank na kuhesabu mileage kabla ya refill)
Mileage: 120,000km
Check engine: Haiwaki kwahio nina-assume sensors zote ziko sawa.
Plugs: Nimeshabadili na zote zinachoma vizuri
Gearbox: Iko poa sababu gear zinabadilika kwa haraka tu.
Service: Nishafanya.
Naomba yeyote mwenye kujua nini cha zaida natakiwa kufanya ili walau ifike 8.5km kwa lita moja ya petroli.
Asante