Fuel consumption ni dhana ya kimaskiniVipi kuhusu fuel consumption ktk Nissan dualis
Mkuu muuza ubuyu hebu tupe mrejesho tena umevuka mwaka na kuingia 2019 na hiyo Harrier bado nzima na ulaji wa mafuta ni huo wa 10Km/litre?
Hivi ile fuel economt computer ni accurate? Maana hua naona ina vary sana ime 3.5km/l, mara 4.4km/l 5.5km/l yani ndani ya muda mfupi ina change haraka sanaMkuu, harrier yangu bado ipo vizuri. Ninapoendesha kistaarabu (long safari) huwa natumia 8.5 mpaka 9km/Ltr . Town trip ni 6km/Ltr.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kuuliza pia wakuu na samahani kama natoka nje ya mada, kati ya Subaru foster ya mwaka 2003/4/5 au harrier ya mwaka 2003, au subaru impreza ya mwaka 2004, zot kwa bajeti nilionayo naweza pata je IPI nichukue, nkzngatia uimara, comfortability, na namna ya kutunza( services).Hivi ile fuel economt computer ni accurate? Maana hua naona ina vary sana ime 3.5km/l, mara 4.4km/l 5.5km/l yani ndani ya muda mfupi ina change haraka sana
Mimi nimewahi kuendesha Subaru Legacy B4 ya 2006 kwa nilivyooendesha niliona ipo safi tu comfortability na fuel consumption average ni 7-8km/l niliendesha kwa wiki tu ila hizo zote zinatumia engine moja EJ20 kwaio vitu vitakua vinafanana harrier yenyewe ipo kwenye class tofauti hauwezi kuilinganisha na Subaru Forester/ImprezaNaomba kuuliza pia wakuu na samahani kama natoka nje ya mada, kati ya Subaru foster ya mwaka 2003/4/5 au harrier ya mwaka 2003, au subaru impreza ya mwaka 2004, zot kwa bajeti nilionayo naweza pata je IPI nichukue, nkzngatia uimara, comfortability, na namna ya kutunza( services).
Hapa angalau data zinaendana na ukweli,kwa mjini hasa dsm huwa ni 6kml kwa gari za cc3000,na ukikanyaga vibaya inarud 5kml ambayo ni kawaida,hata rav4 mjini hapa naona ni 6kml,sijuh tatizo nnTown trip ni 6km/l. Highway ni 10km/l AC ikiwa imewashwa.
Mkuu Joshua ok upo sahihi kwa Mji wa Dar lakini mimi wa Manyoni gas hiyo itakata tu nikivuka Morogoro kuelekea Msamvua.Funga mfumo wa gesi pale DIT gesi ya 15,000/= Tshs. unatembea 200kms
Mimi bado nashangaa, naona harrier hybrid yangu inakamua hadi 8km/L mjini na sijui kwanini wakati battery inaonekana ziko sawa. Naomba ushauri.Umenifungua macho nilishangaa iweje Harrier old model bei chee vile kule befoward
Yes
Check plugsMimi bado nashangaa, naona harrier hybrid yangu inakamua hadi 8km/L mjini na sijui kwanini wakati battery inaonekana ziko sawa. Naomba ushauri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi naiona imepooza Sana. Ekosa mashamsham ya old model-Kilitimehii mashine vipi ndugu zangu, rav 4 mwaka 2006
Hakuna uhusiano wa kuacha AC na ulaji wa mafutaHighway ukiwasha AC ni afadhali ukifungua madirisha wese linaenda ova tank linavuja.
Petrol treatment ndio exillium au?Ulaji mbovu wa mafuta ya gari unategemea na vitu vifuatavyo
1.uendeshaji wako kaka wewe ni mzee wa kukamua unaingia road unanza kwa kukanyagia lazima wese liende.
2.foleni za magari epuka kutembea kwny foleni sehemu ya dakika tano unatumia nusu saa aheri upaki gari utafute tz 11 uendelee hapo mafuta yanaenda km umewasha jiko la mchina.
3.oxygen sensor nzima kama mbovu lazima unywewe mafuta kama mademu wanavyokunyeea vyabe bulee.
4.plug mbovu feki usitegemee plug za buku 6 zikawa nzuri itakula kwako mazima nunua plug za ukweli huna hela park gari.
5.tafuta sweet speed yako kwny highway unatulia na kubarizii siyo ukamue 150 utegemee tank lisiwe na matobo walau izizidi 120.
6.usiache madirisha wazi kwny highway garibinakuwa nzito na wese linaenda jingi.
7.kama ni ya petroli mara mojamoja weka petrol treatment inasafisha njia za mafuta na kurahisisha uchomaji wa haraka.
8.epuka safari fupi fupi na sisizo na tija uokoe mafuta. Ukishindwa yote haya na unakuwa kinga'angaanizi basi usisumbue watu kwa maswali nenda baa tafuta mchemso saafi wa gari lako.