MADA: Fahamu kuhusu matumizi au ulaji wa mafuta kwenye gari aina ya Toyota harrier 3.0L (2990CC)

delusions,
Kuna swala moja ambalo naomba niongezee, watu huwa hawajui kuwa ukigandamiza mafuta zaidi ya 2000rpm katika gia za mwanzo 1 na 2 huwa wanapigwa bao sana!

Hasa gari za auto ndio hunyonya sana hapo kwa watu wasio na nidhamu. Utakuta mtu kashuka kwenye bumps anabonyeza accelerator gari ina rev mpaka gia zikiingia unaskia gari inashtuka!
 
Sijawahi kutumia Noah, lakini kwa ukubwa wake wa engine ( hauzidi 2000cc), kwa wastani fuel consumption yake haiwezi kuwa chini ya 12km/L!

Wenye uzoefu wa Noah watuambie!

Noah inakula bhna engine yake ya 3s kavu ni hatar. Mimi nilishawahi kuwa nayo ulaji si haba
 
delusions,
Umefafanua kiufundi sana ingawa umetumia style ya utani - owners wengi wa magari hawachukulii vitu ulivyo eleza humu seriously mfano: Wangapi wanajua kwamba oxygen sensor mbovu inaongeza ulaji mafuta au kuacha vioo wazi vinaogeza air restance hivyo kuifanya gari hiwe nzito kidogo hivyo engine kulazimishwa na computer kutumia mafuta zaidi,

kusahau kuzima gari unapokuwa kwenye que ndefu ambayo haiendi, kuwasha airconditioner, kwenda mwendo kasi mkubwa husio wa lazima nk.
 
Engine ya 3.0L 1Mz VVTI utumiaji wa mafuta inategemea mazingira ya barabara ,uzito wa mzigo au abiria na namna ya uendeshaji .kwa hapa Dar si rahisi kuzidi speed 80 .unacheza na rpm isiyozidi 2000 yaani speed ya 60-80 mafuta inatumia 8-9Km/1L safarini ni 10-13Km/1L
Thank you so much mussadigital for sharing your valued experience!!
 
Sijawahi kutumia Noah, lakini kwa ukubwa wake wa engine ( hauzidi 2000cc), kwa wastani fuel consumption yake haiwezi kuwa chini ya 12km/L!

Wenye uzoefu wa Noah watuambie!

Mkuu binafsi naogopa sana magari ya NOAH yalivyo designiwa hayako safe hata kidogo, ndiyo maana pakitokea ajali ni watu wachache wanao pona - jaribu kufatilia takwimu za ajali zinazo involve magari ya NOAH ni mara chache watu kupona!!

Nisijue upande wa injini hukoje katika ulaji wa mafuta - lakini kama unataka kuitumia kwa ajili ya family basi kiusalama nisinge i-recommend hata kidogo - I might be wrong though.
 
Chukua hybrid ya 3.3L speed chini ya 80 mafuta inakula mpaka km 28 kwa Lita moja naongea kwa experience ya hii gari kwani nishaitumia mwaka mmoja ila ikianza kusumbua epuka Na mafundi wa mtaani kwani injini yake ina umeme mwingi sana, full tank unafika Bukoba bila shida.
 
Chukua hybrid ya 3.3L speed chini ya 80 mafuta inakula mpaka km 28 kwa Lita moja naongea kwa experience ya hii gari kwani nishaitumia mwaka mmoja ila ikianza kusumbua epuka Na mafundi wa mtaani kwani injini yake ina umeme mwingi sana, full tank unafika Bukoba bila shida.

Mkuu Hybrid sawa lakini labda kwa wenzetu walio endelea, ukileta hapa ikikorofisha nani anaweza kui-service especially kwenye mechcon ya traction motors!!

Si afadhali kununua ya umeme kabisa aina ya Tesla Model X kutoka kampuni ya Elon Musk? - UTANI.
 
Mkuu Hybrid sawa lakini labda kwa wenzetu walio endelea, ukileta hapa ikikorofisha nani anaweza kui-service especially kwenye mechcon ya traction motors!!

Si afadhali kununua ya umeme kabisa aina ya Tesla Model X kutoka kampuni ya Elon Musk? - UTANI.
Kama service inafanyika vzr haina tatizo ila ikianza kusumbua ni shida,mafundi sio kama hawapo ila wapo Na inahitaji diagnosis hata kama tatizo ni Dogo sana sababu mfumo wake wa umeme unategemeana
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Chukua hybrid ya 3.3L speed chini ya 80 mafuta inakula mpaka km 28 kwa Lita moja naongea kwa experience ya hii gari kwani nishaitumia mwaka mmoja ila ikianza kusumbua epuka Na mafundi wa mtaani kwani injini yake ina umeme mwingi sana, full tank unafika Bukoba bila shida.
Okay, ni option nzuri ila inahitaji uwe na "msuli" wenye afya!
 
Wadau kastarlet 1lita kilometa ngap?
Starlet inatumia lita moja kilomita 18 kwenye highway lakini gari hii ina Horse power ndogo sana (75Hp).

Harrier inatumia lita moja kwa kilomita 10 hadi 12 lkn ina 220Hp sasa hapo ni mfuko wako na aina ya matumizi, Starlet unaweza pelekea watoto shule, Mama sokoni, saloon na vi-party safari ndefu utaweza lkn iwe zaidi lami na mwendo wa kawaida 60-80km/h.

Harrier ni hadithi ingine inapasua popote na inachomoko si mchezo, hakikisha tank halikauki tu
 
Back
Top Bottom