Complex
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 4,113
- 4,741
ni chaguo zuri... hata mark X pia ni chaguo zuri
zinatumia same engine sema mark X imepitwa sehemu moja na crown...
Ni kweli, mark X katika kona inavuta. Ila ni gari moja imetulia sana barabarani na ipo stable sana. Niliitest mpaka 180 ilikuwa imetulia sana na unaweza usihisi kama upo 180.