Je, matumizi ya mafuta kwenye Toyota Crown Athlete yapoje?

Mkuu hujasoma hesabu? Btw ukisoma gari imeandikwa 2.0 au cc2000 huwa ni 1980 au ukiona 1500cc huwa 1490 n.k


sio kanuni hiyo bro kwamba 2L zote zina 1980 ...hayo ni makadirio wanafanya hata me nikitengeneza engine INA cc 1970, or 80,90,98 still nitaiita 2L engine
 
kuna mtu nimeona anapost fb kuwa watu wana imani mbaya na hili gari & kuwa halili mafuta kama inavyodaiwa bali ni kawaida sana..
sasa sijui analipamba sababu amekuwa analitangaza la kwake tangu january & bado hajapata mnunuzi
 
ungekuwa specific kidogo

hyo crown athlete inatumia engine gani kati ya hizi mbili

1- 2.5 V6 4GR-FSE

2- 3.0 V6 3GR-FSE


nitaelezea hyo engine ya kwanza maana nimeshawahi kuitumia kwenye mark X

inakula mafuta sanaaa kama ukiwa ni mtu wa flat foot na inakula mafuta vizuri ukilinganisha na displacement yake kama ukiwa unaendesha gari kiustaarabu

- ukiwa unaendesha gari kiustaarabu pasipo kuflow fuel pedal na ukawa unarange kwenye rpm 1500 -2200 basi utapata fuel consumption nzuri tu ya up to 9-10 km per litre


- ukiwa ni mtu wa kuflat foot ili uenjoy ile pulling ya 210 bhp rear wheel drive yani ww ukiingia road unakanyaga pedal ya mafuta sec 4 upo 80kph rpm inaenda hadi 3000 ndugu yangu hapo inabidi mfuko uwe vizur sababu you are likely to get 5-7 km per litre which is very bad kwa uchumi wako na hata mazingira yetu



ushauri kama unamiliki crown na unataka isikuumize mafuta basi iendeshe kistaarabu yani usiiforce ikimbia pasipo sababu za msingi kwan engine itarun kwenye rpm za juu na kupelekea kula mafuta mengi

just let it accelarate naturaly and run the engine at lower rpm 1800- 2200 rpm to get economic fuel consumption
 
huyu ndugu kasema ukweli we kama mnunuzi angalia kipato chako na uwezo wa gari yaan CC hapo ndio utajua ila usiseme kuulizia crown imekaaje sijui nn ila ukweli ni kwamba zina kunywa mafuta as long as ni gari ya CC kubwa engine yake kubwa misili ya mark X ss watakaje tena kama umependa mzigo we jilipue tu utembee nayo ata mwezi then utafanya evaluation ukiona inakutia umaskini una UZA mbona wengi tu wanaziuza izo gari siku izi
resale value yake sasa ni kisanga
 
Kivipi? Fafanua mkuu na ulaji wake hebu
The Wankel engine is a type of internal combustion engine using an eccentric rotary design to convert pressure into rotating motion.


All parts rotate in one direction, as opposed to the common reciprocating piston engine, which has pistons instantly and rapidly changing direction 180 degrees.

In contrast to the reciprocating piston designs, the Wankel engine delivers advantages of simplicity, smoothness, compactness, high revolutions per minute , and a high power-to-weight ratio.


ulaji wake ni mkubwa sana kulinganisha na ukubwa wake ila ni sahihi kulinganisha na power inayotoa

inazalisha power sawasawa na engine ya toyota yenye CC 2500-3000 so ulaji wake lazima uwe wa juu

6-8 km per litre ndio ulaji wake hii ni kwasababu hizi engine zinarun kwenye RPM za juu sana




kwa mfano mzuri tu hyo engine ya rx8 ni 1.3 lakini out put yake ni 234 horse power ambayo ni kubwa kuliko ya mark x engine ambayo ni 2.5 yenyew inaproduce 210 bhp

ila pia kama unamiliki rx8 kuwa sana makini na engine ukizembea tu kidogo utajikuta unanunua engine nyingine

kuwa makini kucheki oil yako maana nature ya hizi rotor engine zinachoma oil... yani katika ile process nzima ya combustion huwa zenyewe zinanyunyiza oil kidogo into combustion chamber ili i act as a seal sasa hapo utajikuta unaongeza oil kila mara ukizembea tu unakaanga vyuma

pia inabidi kila asubuhi unapoiwasha jaribu ikiwa silence kuirev mpaka red line then unaacha ndio unaweka gia kuondoka hii husaidia kupandisha oil kwa haraka na kama pale mwanzo nilivyosema rotor engine huwa zinanyunyiza oil kwenye combustion chamber ili iwe kama seal

sasa ukiirev hadi redline inasaidia kunyunyiza oil kwa wingi na kusaidia kuweka seal na kuprevent leakage

zinahitaji trick nyingi hizi engine ili zidumu na wengi hawazijulii ndio maana kila mtu utakuta anasema usinunue rx8 engine yake ni jini
 
The Wankel engine is a type of internal combustion engine using an eccentric rotary design to convert pressure into rotating motion.


All parts rotate in one direction, as opposed to the common reciprocating piston engine, which has pistons instantly and rapidly changing direction 180 degrees.

In contrast to the reciprocating piston designs, the Wankel engine delivers advantages of simplicity, smoothness, compactness, high revolutions per minute , and a high power-to-weight ratio.


ulaji wake ni mkubwa sana kulinganisha na ukubwa wake ila ni sahihi kulinganisha na power inayotoa

inazalisha power sawasawa na engine ya toyota yenye CC 2500-3000 so ulaji wake lazima uwe wa juu

6-8 km per litre ndio ulaji wake hii ni kwasababu hizi engine zinarun kwenye RPM za juu sana




kwa mfano mzuri tu hyo engine ya rx8 ni 1.3 lakini out put yake ni 234 horse power ambayo ni kubwa kuliko ya mark x engine ambayo ni 2.5 yenyew inaproduce 210 bhp

ila pia kama unamiliki rx8 kuwa sana makini na engine ukizembea tu kidogo utajikuta unanunua engine nyingine

kuwa makini kucheki oil yako maana nature ya hizi rotor engine zinachoma oil... yani katika ile process nzima ya combustion huwa zenyewe zinanyunyiza oil kidogo into combustion chamber ili i act as a seal sasa hapo utajikuta unaongeza oil kila mara ukizembea tu unakaanga vyuma

pia inabidi kila asubuhi unapoiwasha jaribu ikiwa silence kuirev mpaka red line then unaacha ndio unaweka gia kuondoka hii husaidia kupandisha oil kwa haraka na kama pale mwanzo nilivyosema rotor engine huwa zinanyunyiza oil kwenye combustion chamber ili iwe kama seal

sasa ukiirev hadi redline inasaidia kunyunyiza oil kwa wingi na kusaidia kuweka seal na kuprevent leakage

zinahitaji trick nyingi hizi engine ili zidumu na wengi hawazijulii ndio maana kila mtu utakuta anasema usinunue rx8 engine yake ni jini
Ndo hicho kinafanya niipende Mazda. Nilikua na Mazda Axela Sports cc 1490 ya mwaka 2006. Aisee power yake ilikua kubwa mno. Nlitoka axela nikachukua rx8. Axela mpaka sasa imenipa experience nzuri zaid
 
Rx 8 nilikua nayo mkuu na hata humu nilishawahi kuweka tribute yake humu jf,ni cc1300 lkn ulaji wake ulikua unachezea 6-7km/l lkn ina mbio na balance barabarani.

Huyo jamaa anayesema eti consumption yake ni reasonable haijui hio gari.
Hio gari ni sport car. Lazma ikukunyuge wese tu same to other boxer engines kama subaru. Uzuri wa boxer engine ni kuwa imesambaa kushoto na kulia na ipo katikati hivyo husaidia kweny stability ya gari.
 
ungekuwa specific kidogo

hyo crown athlete inatumia engine gani kati ya hizi mbili

1- 2.5 V6 4GR-FSE

2- 3.0 V6 3GR-FSE


nitaelezea hyo engine ya kwanza maana nimeshawahi kuitumia kwenye mark X

inakula mafuta sanaaa kama ukiwa ni mtu wa flat foot na inakula mafuta vizuri ukilinganisha na displacement yake kama ukiwa unaendesha gari kiustaarabu

- ukiwa unaendesha gari kiustaarabu pasipo kuflow fuel pedal na ukawa unarange kwenye rpm 1500 -2200 basi utapata fuel consumption nzuri tu ya up to 9-10 km per litre


- ukiwa ni mtu wa kuflat foot ili uenjoy ile pulling ya 210 bhp rear wheel drive yani ww ukiingia road unakanyaga pedal ya mafuta sec 4 upo 80kph rpm inaenda hadi 3000 ndugu yangu hapo inabidi mfuko uwe vizur sababu you are likely to get 5-7 km per litre which is very bad kwa uchumi wako na hata mazingira yetu



ushauri kama unamiliki crown na unataka isikuumize mafuta basi iendeshe kistaarabu yani usiiforce ikimbia pasipo sababu za msingi kwan engine itarun kwenye rpm za juu na kupelekea kula mafuta mengi

just let it accelarate naturaly and run the engine at lower rpm 1800- 2200 rpm to get economic fuel consumption
Wewe sasa ndio umeongea kitaalamu na kwa uzoefu. Kimsingi 4GR-FSE (Crown na Mark X) ni engine iliokuja ku replace 1JZ japo haiifikii kwa pulling ila imefanyiwa modification isile sana mafuta hata katika uendeshaji wa kawaida tu tofauti na ulaji wa 1JZ engine ilioko kwenye Brevis.

Kinachowaponza wabongo wengi ni poor car maintanance na poor driving skills. Economical driving watu hawazingatii wamekazana kusema gari flani ni 6 cylinder inakula wese. Kuna jinsi ya kuendesha gari sio ukishuka bumps unagandamiza mguu mpaka injini inavuma, taa zikiruhusu unabonyeza wese mpaka gia zikishift gari inastuka. Kwa uendeshaji mmbovu hata IST utaona inakula wese tu hamna namna.

Eco driving: Hakikisha mshale wa RPM hauvuki pale kwenye namba 2 kabla ya gear kuongezeka. Weka mguu taratibu kwenye pedeli ya mafuta hakikisha gari inaenda gear ya pili kiwepesi bila kuvuka zaidi ya namba 2 kwenye mzunguko wa engine. Hapo hata ukitumia V8 utaona haili wese!
 
Wewe sasa ndio umeongea kitaalamu na kwa uzoefu. Kimsingi 4GR-FSE (Crown na Mark X) ni engine iliokuja ku replace 1JZ japo haiifikii kwa pulling ila imefanyiwa modification isile sana mafuta hata katika uendeshaji wa kawaida tu tofauti na ulaji wa 1JZ engine ilioko kwenye Brevis.

Kinachowaponza wabongo wengi ni poor car maintanance na poor driving skills. Economical driving watu hawazingatii wamekazana kusema gari flani ni 6 cylinder inakula wese. Kuna jinsi ya kuendesha gari sio ukishuka bumps unagandamiza mguu mpaka injini inavuma, taa zikiruhusu unabonyeza wese mpaka gia zikishift gari inastuka. Kwa uendeshaji mmbovu hata IST utaona inakula wese tu hamna namna.

Eco driving: Hakikisha mshale wa RPM hauvuki pale kwenye namba 2 kabla ya gear kuongezeka. Weka mguu taratibu kwenye pedeli ya mafuta hakikisha gari inaenda gear ya pili kiwepesi bila kuvuka zaidi ya namba 2 kwenye mzunguko wa engine. Hapo hata ukitumia V8 utaona haili wese!
Mkuu nisaidie kwenye altezza ulaji wake,maana nataka nishuke kwenye subaru legacy twin turbo niingie kwenye tezza
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom