Matumizi ya lugha.

Ekitarangwe

Member
May 29, 2008
13
0
Haya wana jf kunaneno moja nataka munieleze matumizi yake.

Nihivi Mh furani KAGONGA Wasichana wawili mjini Dar je mnapata picha gani?
 
Haya wana jf kunaneno moja nataka munieleze matumizi yake.

Nihivi Mh furani KAGONGA Wasichana wawili mjini Dar je mnapata picha gani?

Ekitarangwe,

Hili ni jukwaa la lugha na hivyo nafanya masahihisho kidogo:

'Kunaneno' = kuna neno
'Munieleze' = mnieleze
'Nihivi' = Ni hivi
'Furani' = Fulani

Hilo la 'Mh fulani kagonga wasichana wawili' nawaachia wataalamu wengine.
 
Back
Top Bottom