Kupitia tathmini ya uchaguzi wa mwaka 2010 baadhi ya makanisa yaliruhusu kwaya zao kutunnga nyimbo kumnadi mgombea wa CDM mfano halisi ni kwaya ya familia takatifu na kwaya ya pentekoste chipu najiuliza kikatiba ikoje hii na ni yapi mahusiano yaliyopo kati ya chama husika mgombea na makanisa hayo