Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
jamani bado anaiba tu mbona alizoa hela nyingi sana wakati anajenga nyumba yake hajarudisha lakini tena kazoa zingine huyu mzee wutu hatufai.
Kwa vile nyie mnaona kwa namna moja ama nyingine ni ubadirifu? Kwanini msiende mahakamani akashtakiwa kwa kujilimbikizia fedha za umma? Na atakayewaamini ni wachumia tumbo tu! Chadema Maazimio yote yana baraka za Chama.