tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,194
- 1,434
kuwa specific, kipengele kipi cha matumizi ni cha kifisadi? DSA ya 80,000 ni ndogo sana. mie ndio nilianza nayo serikalini miaka 5 iliyopita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maana Dr. Slaa bajeti yake kubwa maana hali chakula na wananchi. Anajifungia kwenye hotel kubwa na Josephine.View attachment 125217Posho ya chakula imepelekwa wapi?
Ndiyo maana Dr. Slaa bajeti yake kubwa maana hali chakula na wananchi. Anajifungia kwenye hotel kubwa na Josephine.
Kama ni kweli una uchungu na pesa za ruzuku, tuletee na matumizi ya Lumumba tuone maana huu mwezi wa pili sasa Kinana, Asha-Rose na Nepi wanazunguka mikoani!!Mkuu, mtu akizoea kuiba, akibanwa sana nje atajaribu kumuibia hata mke wake. haya ndo anayoyafanya dr slaa
[FONT=lucida
console]Ndiyo maana Dr. Slaa bajeti yake kubwa maana hali chakula na
wananchi. Anajifungia kwenye hotel kubwa na Josephine.
[/FONT]
Kiasi alichitaja huyu MCCM
ni kiasi kidogo cha fedha kwa ziara kama hii. Hivi kwa akili yako
ulitaka Kiongozi Mkuu wa chama atumie elfu 40? Kwa taarifa yako amekuja
mkoa wa Kigoma na sisi tumechanga fedha nyingine kwa ajili ya
kufanikisha ziara hii. Kumbuka, tena iingie akilini mwako, kiasi
ulichotaja na kuanisha matumizi hayo ni kidogo.
Tunapojenga chama chetu gharama hizo ni justified. Hapa kwetu Kasulu
hotel yenye hadhi ya DR.SLAA inalipiwa zaidi ya elfu 50 kwa malazi ya
siku moja.
KINACHOKUUMA KWA MATUMIZI YA FEDHA ZETU NI NINI?
Jaribu kuona rais wako anavyofanya ziara za ng'ambo na msafara wa watu
lukuki, hutumia kiasi gani kwa ziara? Tuwe realistic na tuache
umbumbu!
umeiona CV ya mbowe?