FikraPevu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2010
- 303
- 236
Serikali kwa miaka kadhaa imekuwa ikiahidi kuwa itachukua hatua za kudhibiti matumizi ya dola ili kulinda hali hiyo, lakini hadi sasa haijatekeleza ahadi hiyo.
Katika kipindi cha miaka kumi na moja iliyopita nchini, shilingi ya Tanzania ilianza kupotea thamani yake kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo kukithiri kwa matumizi ya fedha za kigeni hususani Dola ya Marekani.
Matumizi ya Dola yashamiri
Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wameeleza kuwa kumekuwepo na ongezeko kubwa la matumizi ya fedha za kigeni nchini hususani kwenye taasisi za watu binafsi zikiwemo shule za awali na sekondari.
Aidha, licha ya biashara ya fedha za kigeni kuendelea kukua katika miji mikubwa pamoja na miji iliyopo mipakani wananchi wengi wamelalamikia hatua ya kufika kupata huduma kwenye maeneo mbalimbali nchini na kudaiwa kuwa wanatakiwa kufanya malipo.....
Habari zaidi soma,=>Matumizi ya Dola ya Marekani kwenye Manunuzi yachanganya Wananchi