Matumizi ya dawa za kuzuia mimba kwenye vipodozi

Kuna MTU kule Facebook huwa anatangaza sana mafuta ya kukuza nywele zinarefuka za mhindi hazifui dafu sasa huwa najiuliza ni kweli au changa la macho tu
mimi wapite kushoto kule,nywele inakuzwa na diet na mafuta asili mfano ya mnyonyo ama ya nazi
 
duuh kazi ipo na kwenye matangazo wana tilia mkazo sana kuwa ni ya asili
 
Kapicha bas na sie tumuone
18096437_289238964865731_1411119343416115200_n-jpg.501008
 

Attachments

  • 18096437_289238964865731_1411119343416115200_n.jpg
    18096437_289238964865731_1411119343416115200_n.jpg
    85.1 KB · Views: 170
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom