Ndio japo nasikia zipo mbegu ambazo haruhusiwi kuzidisha tatu kwa mwakanaskia anameza mbegu 2 au 3 kila baada ya miez mitatu
Pole zake wenda alikosea kitu (akuchagua mbegu sahh ama zilimkata) ila bora kabeba ujauzito kajijua ni mzimaMnyonyo.
Rafiki yangu alibeba mimba akiwa kwenye dozi ya mnyonyo...
Mimba inaingia muda huohuoMkuu yaani hapa nilipo nashindwa elewa kama ni michezo kanichezea au ni nini, maana ninavyo fahamu mimi ukisex na mwanamke akiwa kwenye siku hatari ya mimba lazima atapata mimba tena kwa 2 days, au si hivo
Upo sahihi kilinisaidia sana ila nimekitoa tayari kwa maandalizi ya kupata ujauzitoKitanzi ndio kinga sahihi kabisa haina dawa yoyote na haibadili chochote kwenye mwilo wa mwanamke naitumia muda mrefu sana na nasahau kabisa kama nina hicho kitu mwilini
Hii siikubali labda nikifika 40 hukoooSuluhisho salama tu ukiona una watoto wa kukutosha ni kufunga uzazi...
Wanaume wenye upendo fanyeni basi vasectomy
duh kumbeeMnyonyo.
Rafiki yangu alibeba mimba akiwa kwenye dozi ya mnyonyo...
weee mm kabisa huyuuu nifanye vasectomy weeeeh!!! what if huko uzeeni nikachange my mind nikataka kuongeza katoto kamoja?Suluhisho salama tu ukiona una watoto wa kukutosha ni kufunga uzazi...
Wanaume wenye upendo fanyeni basi vasectomy
umejiandaa kushika ujauzito, Je wa kukupa huo ujauzito yupo?? kama hayupo basi mm npo hapa!Upo sahihi kilinisaidia sana ila nimekitoa tayari kwa maandalizi ya kupata ujauzito
🤣🤣🤣 Yupo tayari muda si mrefu anakuja kuujaza ulimwengu, Ni hisia nzuri sana Ukiwa unafanya maandalizi kama haya tena kwa kukusudiaumejiandaa kushika ujauzito, Je wa kukupa huo ujauzito yupo?? kama hayupo basi mm npo hapa!
Hivi hawa mabinti wa shule pia inawezekana na ni salama kuwawekea vitanzi mpaka watakapomaliza shule? Kuwakinga na mimba au ni kwa wanandoa tu?Upo sahihi kilinisaidia sana ila nimekitoa tayari kwa maandalizi ya kupata ujauzito
Inasemekana si salama sana kwa mtu ambae hajawahi kupata mtoto, halafu uwekaji wake unahitaji mtu mwenye uzoefu na leba, unataka usiwe na aibu, Ni kupanua k uchunguliwe uwekewe kifaa,Sasa mwanafunzi mwenye uwezo huo sidhani km yupo,Hivi hawa mabinti wa shule pia inawezekana na ni salama kuwawekea vitanzi mpaka watakapomaliza shule? Kuwakinga na mimba au ni kwa wanandoa tu?
Yupo tayari muda si mrefu anakuja kuujaza ulimwengu, Ni hisia nzuri sana Ukiwa unafanya maandalizi kama haya tena kwa kukusudia
Nahis hii njia huwa ipo kwa waliowai kabeba ujauzitoHivi hawa mabinti wa shule pia inawezekana na ni salama kuwawekea vitanzi mpaka watakapomaliza shule? Kuwakinga na mimba au ni kwa wanandoa tu?
Kwa sasa wote wanaweza kutumia walokuwa sexual active ila inashauriwa kuwekwa na mtu mwenye uzoefu na mambo ya wanawake(gynocologist) kwasababu inawezwa kukosea kuwekwa!Hivi hawa mabinti wa shule pia inawezekana na ni salama kuwawekea vitanzi mpaka watakapomaliza shule? Kuwakinga na mimba au ni kwa wanandoa tu?
wanaume bwana mna maajabu.wasaidieni wake zenu.weee mm kabisa huyuuu nifanye vasectomy weeeeh!!! what if huko uzeeni nikachange my mind nikataka kuongeza katoto kamoja?
kwny maisha "change is innevitable"wanaume bwana mna maajabu.wasaidieni wake zenu.
Na kwa nini ubadili mawazo kupata katoto baadae?
Kwa Ule utamu utamwagaje nje,utamu huwa unapelekea viwete kusimama akimaliza tu ulemavu unarudi.mwendo wa kumwaga nje tu