inaama hiyo gari ni chotara.mkuu mbona naona number plate mbili imekuwaje hapo
mkuu mbona naona number plate mbili imekuwaje hapo
Waacheni tu wazitumie kibinafsi, kiukweli serikali sijui hakuna hela maana hawa madreva wanakula msoto sana wanakaa chini ya miti tu kucheza bao na drafti, safari wahuna, mafuta ya ngama familia zao sijui wanazilisha nini zaidi ya mshahara.
sema unachotaka kusema sasa!!Waacheni tu wazitumie kibinafsi, kiukweli serikali sijui hakuna hela maana hawa madreva wanakula msoto sana wanakaa chini ya miti tu kucheza bao na drafti, safari wahuna, mafuta ya ngama familia zao sijui wanazilisha nini zaidi ya mshahara.