Koffi Yardley
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 620
- 495
Ndugu zangu,
Kuna kila dalaili Lissu akaendelea kubaki ughaibuni ambapo inasadikiwa atakuwa "akibeba box" kwenye NGOs huko majuu.
Siku zinaenda kasi sana na kama mambo yakienda kama Lissu atakavyo sasa mshindi atakuwa Mbowe kwani hatakuwa na mpinzani uenyekiti ndani ya Chadema katika miaka ya karibuni.
Nawasilisha.
We bana na cheap propaganda zako una-dilute viwango vya hili jukwaa. Why the .... dont u shut the .... up? Unahara hara tu all the time, tena cholera!