swahili state
JF-Expert Member
- Oct 14, 2014
- 261
- 146
Yule mwalimu bora wa History na Geography aliyezunguka mikoa mingi ikiwemo mikoa ya kanda ya ziwa sasa amerejea katika jiji la Dar-es-salaam ili kuwasaidia wanafunzi wa o-level na advance.
Kwa sasa,amefungua kituo kikubwa sana katika eneo la Tabata,Segerea mwisho.
Pia,kituo kina walimu wa masomo yote ya Sanaa,sayansi na biashara.
Wanafunzi wa advance watakaojiunga kwenye centre watasoma bure Basic applied mathematics na General studies.
Kila jumamosi kutakuwa na solving za history na bam buree.
Kwa wenye uhitaji watani pm.
Kwa sasa,amefungua kituo kikubwa sana katika eneo la Tabata,Segerea mwisho.
Pia,kituo kina walimu wa masomo yote ya Sanaa,sayansi na biashara.
Wanafunzi wa advance watakaojiunga kwenye centre watasoma bure Basic applied mathematics na General studies.
Kila jumamosi kutakuwa na solving za history na bam buree.
Kwa wenye uhitaji watani pm.