AbouZakariya
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 1,615
- 2,337
Witness hizi zote ni propaganda si kweli kwamba amin alikula nyama za watu, ni uzushi tu wa wale wapinzani wake.Na kula nyama za watu je?
Kuhusiana na na ombaomba hawakumwagwa ziwani kama baadhi ya wapotoshaji wasemavyo, bali kilichotokea ni kwamba aliwahamisha mjini kampala kwa muda kwani kulikuwa na mkutano mkubwa wa baadhi ya viongozi wa afrika, kwa kuogopea aibu hiyo kutoka kwa wageni wake ndipo akaamua kiwahamisha kwa muda mjini kampala.