Matukio yaliyotikisa Tanzania tokea tupate uhuru

Nchi ni matukio, hata majumbani kwetu matukio ni kawaida! JK ni muwazi ndio maana unasikia kuna matukio. Enzi za Nyerere redio na gazeti la serikali tu!!!
 
Wanajamvi kwanini nchi yetu kila kukicha nchi yetu imekuwa ikiandamwa na matukio ya hapa na pale na huzuka na kupotea ebu tukumbushane baadhi ya matukio
1.richmond
2.dowans
3.babu wa loliondo
4.masaburi na uda yake.
Jamani tujazilize matukio mengine mnayoyajua.nawasilisha.

Oldonyo usihangaike kutafuta mchawi. It is very simple ni UONGOZI LEGELEGE.
 
Teh teh teeh....... eti mkuu wa kaya mwenyewe ana ulinzi wa nguvu za giza sasa mwategemea nini kama si........
 
Matukio Tanzania?
Ya Syria, Libya, Malawi, Egypt, Equador, Chad, GreenLand na Guyana unayafahamu?
Ukistaajabu ya Moses utayaona ya Pharaoh!
 
Nchi hii inaongozwa na Farao. Sisi ndio wale wana wa Israel walioteswa na wamisri. Subirini kidogo Neema inakuja, this is just the transitional period. Kunguni wanaendelea kuishambulia Ikulu msijali JK ataachia, na neema tutaanza kuipata hata kabla ya 2015. Neema mara nyingi hutanguliwa na dhiki kubwa na nzito ajabu. Sasa tunayoyaona ni madogo, na viongozi wa serikali ya ccm kwa jinsi walivyofungwa akili hawataweza kuitambua hili. Mbarikiwe na bwana!
ukweli mtupu.
 
Mimi ya mabomu ndo ilinisikitisha sana...
Sasa unakaa kufikiria nini kingine kinakuja?
 
..Zikiwa zimebakia siku 8 kufikia miaka hamsini ya uhuru wa Tanganyika napenda tujikumbushe matukio makubwa ya kisiasa,kijamii na kitamaduni yaliyowahi kutokea ndani ya miaka hamsini(50) ya uhuru wa Tanganyika na mwaka gani tukio hilo lilitokea...

Nawasilisha!!
 
Mkuu mbona sijakusoma unauliza uelezwe au?maana heading mkuu na content mbona vimesigana??wewe mleta mada hata kuweka tukio moja!!!anyway mimi nakunbuka vita vya Kagera kati ya TZ na UG!!
 
Mkuu mbona sijakusoma unauliza uelezwe au?maana heading mkuu na content mbona vimesigana??wewe mleta mada hata kuweka tukio moja!!!anyway mimi nakunbuka vita vya Kagera kati ya TZ na UG!!

jamani jamani.......!
 
Mimi nakumbuka viwanda vyetu na Makampuni yaliyokufa naanza na;
RTC
CHAKULA BARAFU
KAUDO
KAURU
KAUMA
GAPEX
MBEYA,KILI,SUNGURA,MOSHI,TEXCO.
Tz Elimu Supliers
NM
 
WADAU, Tanzania yetu yametokea matukio mengi ya ajabu. Naomba katika thread hii tujikumbushie mambo yaliyotokea ya ajabu ndani ya kisiasa, ya kuhujumu uchumi, maamuzi ya ajabu kutoka mahakamani, n.k.
 
Kwenye hii dunia hakuna la ajabu hata moja

Duh!! Gaijin, Kuna yanayotokea Tanzania tu hayotokei sehemu nyingine. Mfano Kiongozi wa nchi kuulizwa kwa nini watu wako maskini wakati nchi ina rasilimali nyingi na kujibu hajui, hili nalo umewahi kulisikia wapi kama siyo Tanzania tu?
 
Back
Top Bottom