Halfcaste
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 972
- 215
Kumekuwepo na matukio mbalimbali ya kupotea kwa watoto na kukutwa wamechunwa ngozi wilayani Muleba, hasa maeneo ya Kamachumu na Muhutwe kiasi cha kufanya wakazi wa maeneo haya kuishi kwa hofu kubwa.
Hivyo, tunaomba vyombo vya usalama kuigilia kati na kukomesha haraka vitendo hivi.
Hivyo, tunaomba vyombo vya usalama kuigilia kati na kukomesha haraka vitendo hivi.