Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Ina maana huyu hapa na mtaani kweni ni wapi mkuu??Mkuu huyo binti aliyevaa kachupi nje nje namjua, yupo mtaani kwetu anaitwa Tina, aiseee................baba yake mlokole!!
Weka wazi wanapiga wapi wazee wa kutwanga na kupepeta??Ungepita na mahali fulani twanga wanapiga kila j'mosi...ni aibu..
Weka wazi wanapiga wapi wazee wa kutwanga na kupepeta??
Mkuu huyo binti aliyevaa kachupi nje nje namjua, yupo mtaani kwetu anaitwa Tina, aiseee................baba yake mlokole!!
mwisho wa dunia unapokaribia mambo yanakuwa kizungumkuti!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hapo mwanzo dunia ilpoumbwa binadamu walikua wanatembea uchi! sishangai kama sasa hivi dunia inarudi kulekule tulipotoka ni kama tunavyoona kizazi hiki kinachojiita kipya kuanza kuvaa nusu uchi! MOLA Tusaidie tujue hiki kizazi kinakwenda wapi:help:ray:
Chuki imekujaa jibaba zima lolVijana, hayo ni mambo ya Bili au?
Mi naomba tu kuuliza hivi hawa wadada wa siku hizi bila ya kuonyesha chupi zao huwa hawajisikii vizuri?