Matukio ya picha toka viota vya marahai weekend hii

Mbona kwa mswathi wanakaa tu uchii sembuse chupi tu hiyo?prob with you guys mkiona chupi mnawaza kwingine ndo maana mnapata shida loh..kaza moyo
 
Mbona kwa mswathi wanakaa tu uchii sembuse chupi tu hiyo?prob with you guys mkiona chupi mnawaza kwingine ndo maana mnapata shida loh..kaza moyo

Wa kwa Mswati hawavai mawigi. Hawapaki lipstiki. Hawabebi chupa za bia.
 
View attachment 18335View attachment 18337View attachment 18338View attachment 18339View attachment 18340
attachment.php

Watanzania tuna mengi ya kujadili na kutafuta ufumbuzi wake, kutumia bytes nyingi kujadili mapicha haya ni kuwa nyuma ya wakati. hatuwezi kufika katika mtindo huu.
 
Watanzania tuna mengi ya kujadili na kutafuta ufumbuzi wake, kutumia bytes nyingi kujadili mapicha haya ni kuwa nyuma ya wakati. hatuwezi kufika katika mtindo huu.
Nakuunga mkono saana BT....tufanye nini sasa ndio tumeathirika kiivyo
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom