MATUKIO YA PICHA:Rostam Uso kwa uso na Pinda

Gembe

JF-Expert Member
Sep 25, 2007
2,483
159
IMG_9534.JPG


Ni kama wanasema vile

Rostam:Mheshimiwa Pinda huyo ni kijana wangu,angalia usimuingilie katika kazi zake
Pinda:Nimekusikia Mkuu,ila mambo kama ya Richmond sitayakubali tena,Ngeleja unasikia?
Ngeleja:Ndio Mzee.


wewe unadhani walikuwa wanaongea nini?
 
front1612.jpg

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Finally on board: The NMG/MCL agreement was witnessed by MCL's Rostam Aziz (left) and signed by director-general Ferdinand Ruhinda and NMG chief executive officer Wilfred Kiboro.[/FONT]

Hivi MCL ni ya Rostam??

source:www.nationaudio.com/News/EastAfrican/23122002/
 
Mcl Ni Mali Ya Jumuiya Ya Agha Khan Rostam Ana Shares Kidogo Kama Alivyo Mafuruki


hapa kuna jamboi,na kama Rostama liweza kununu hilo gazeti 2002 basi kampeni zao na mbio za Urais zilikuwa za kutisha
 
Huyu mheshimiwa ana kampuni genuine zinazolipa kodi sidhani kwamba kuna haja yoyote ile kwa yeye ati kuwa na makampuni kivuli.

Jamaa ana fedha simple... kwa Tanzania kutokuwa na hela ni kigezo kizuri sana cha kuwa mtu mwema... na Kuwa tajiri ni kigezo kizuri cha kuitwa fisadi!!!

Muda si mrefu atatoa utetezi wake wa uhusiano wake na Richmond bungeni, mchele na pumba zitajulikana.
 
Jamaa ana mpunga sio wa kuebeza jamani..ameanza mbali sana kujipanga........jamaa ndio alio mbeba Ngeleja hadi hapo alipo...kama mnataka dataz..ulizeni watu wa sengerema usikie...hadi leo shija analia....haamini yaliomtokea hizo ni nguvu za RA
 
Jamaa ana mpunga sio wa kuebeza jamani..ameanza mbali sana kujipanga........jamaa ndio alio mbeba Ngeleja hadi hapo alipo...kama mnataka dataz..ulizeni watu wa sengerema usikie...hadi leo shija analia....haamini yaliomtokea hizo ni nguvu za RA

Ngeleje hakubebwa na mtu ,

Siasa za kanda ya ziwa huzijui Vizuri tuulize sie tunaozijua haswa,jiulize kwanini watu wa Msoma wanampenda Mzee Gachuma??hata kama Mtandao haumtaki??

yaani Mara ni kama Zanzibar,wakiamua kitu hawabadiliki hatra kwa nini.

Suala la Sengerema ni kwamba,watu walikuwa wamemchoka Mhe. Shija na wakaamua kutafuta mtu makini atakaye watatulia matatizo yao,na alifanikiwa katika hili.

Mh. Ngeleja anakubalika sana huko kwao na ilikuwa ni rahisi sana kwa yeye kuchaguliwa,kuhusu kusaidiwa na RA,hili ni suala la kila mtu sababu Mhe. RA alitoa Mchango kwa kila mtu wa kambi ya wanamtandao tena baada ya kura za maoni za CCM.

Kwa kiasi kikubwa kampeni zake zilisaidiwa sana na marafiki zake wa kikundi cha Victoria Group ambapo hapo kabla alikuwa Mwenyeekiti wake.
 
Ngeleje hakubebwa na mtu...,

Siasa za kanda ya ziwa huzijui Vizuri tuulize sie tunaozijua haswa...

...kuhusu kusaidiwa na RA,hili ni suala la kila mtu sababu Mhe. RA alitoa Mchango kwa kila mtu wa kambi ya wanamtandao tena baada ya kura za maoni za CCM.

Kwa kiasi kikubwa kampeni zake zilisaidiwa sana na marafiki zake wa kikundi cha Victoria Group ambapo hapo kabla alikuwa Mwenyeekiti wake...

Nimekubali mtaalam!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom