Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
- Thread starter
- #21
Uone nin ndugu,,,Ngoja tuone...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uone nin ndugu,,,Ngoja tuone...
Angalia ilipo tarehe na mwezi wa kuzawa kwako ndugu. Itapokuwepo ndipo kundi la NYOTA yakomtu unajuaje hii ni nyota yako
Ha ha ha Ramli ni nin kilugha na kisharia?Ramli ni haram
Nawe umetabiri.... Mambo usio yajua nafasi yako ni kuwa MUULIZAJI.Mambo ya nyota ukiyaamin sana unaweza kujikuta unagombana na mke wak ni hali ya kushangaza mtu anatabiri kuwa mke wak siku fulani au siku fulan kipat chako kitapungua ni Mamb ambayo hayapo
Me nimemwambia ila hasikiiHa ha ha kutonielewa pia ni zaid ya kutupiwa mashaytwan
Si vyote utakavyo vijua ndugu.Mimi ata sielewi ni nini hii
Ndio vipi?Mambo ya kubuni tu
Usiniamini mimi... Chukua maneno ya kundi la NYOTA yako.... Utaamini wewe moyoni mwako itatosha.Huyu ni msanii tu...mkiamuamini mmepotea njia
Kwani pesa zinatafutwa wapi?tafuta pesa sheikh, achana na ramli izo
Sawa ndugu.Mizani hapa nashukuru Niko njema
Ukiugua unatafuta utatuzi kwa mbinu zipi ndugu?Ng'e tutafute utatuzi kwa Mbinu gani
Alo nayo ni adhab toshaMe nimemwambia ila hasikii
Nakuamuru fanya yako Shekh
Peleka ujinga wako hukoNilijua utakua ujui unachokiuliza... Wakat mwengine ujui hata unachokitaka kuijua.
Alaf ukajitia kujua ilhali ujui.
Ni. Kazi sana kuwaelewesha watu sampuli yako.
Jinn ina maana zake... Miongoni wa maana hizo ni kitu kufichikana.
Ww unataka kuona kitu kilichofichikana....
Nan JAHILI hapo!!!
Uliza maswali kama MJINGA ili ufundishwe acha kuiga tabia za KISHETANI mbele za werevu.
Kwa kuandika vitu kwa kina, kirefu na kiundaniKwani pesa zinatafutwa wapi?
kwahiyo jina la mtu halijengi nyota ya mtu. ni tarehe ya kuzaliwa tu?Angalia ilipo tarehe na mwezi wa kuzawa kwako ndugu. Itapokuwepo ndipo kundi la NYOTA yako