Matukio ya kutengenezwa ya kujiteka

Unafikiria vizuri kabla ya kuandika kweli?

1. TAML alijimiminia risasi!
2. Azory yuko wapi mpaka leo?
3. Polisi wameshidwa hata kutoa report ya awali walau watuambie hicho unachokisema wewe.
Hujamuelewa. Yan hapo anashangaa kwamba watu wanasema amejiteka. So anauliza utajitekaje halafu hatahela ya tax ukose mfukon..??
 
Lolote lawezekana aisee.

Na kusema ukweli Magufuli ana maadui kila kona.

Hata ndani ya CCM wapo. CHADEMA ndo wamejaa hadi pomoni.

Hivyo sitashangaa kabisa kama kuna mipango ya hujuma dhidi yake na wahusika wakawa ni kutoka CHADEMA na CCM wakifanya kazi kwa ushirikiano.

Inawezekana unachokisema ni kweli kabisa mkuu, ila sasaaaaaa, Mbona mtuhumiwa wa haya matukio kwa maana ya serikali, Mbona hakani hizo tuhuma na hana hata dalili za kuwafungulia mashtaka wanaomchafua ???

Hapo ndipo alama ya kuuliza iliyokolezwa kwa wino mzito inapokuja inapokuja
 
Kuna tetesi kuwa Nondo hakupotea bali amejipoteza mwenyewe maksudi.

Sijui ukweli hapa upo wapi kwa sababu hapo nyuma watu walipotea kikweli.

Ninachotaka kukielezea hapa chini ni dhana ya kuwa watu wanafanya maigizo au MIKAKATI ili ulimwengu uione serikali ya Magufuli kwa mtizamo m-baya.

xxxxxxxxxxxxxxx

DHAMIRA
Kwa shinikizo hili la kuwa Magufuli ni kiongozi mbaya na sasa ANAUA RAIA WAKE MWENYEWE itakuwa rahisi kwa Security Council ya Umoja wa mataifa kuingilia kati.

Sote tunajua, kama UN Security Council italeta majeshi ya kuuingilia kati utawala wa Maguful

NONDO
Je ni kweli kuwa, kama huu utekaji wa NONDO ni fekero, basi huu ni muendelezo tu wa haka kamchezo kachafu kanakochezwa na upinzani?

We Ni mchochezi Na mpika maneno.

Hivi kuna uhusiano gani Kwa hii mifano ya kisiasa uliyotoa Na upoteaji wa huyu kijana ??
Mbona haviendani au mwenzetu unataarifa za undani zaidi kwani hata kijana hajasema bado alikuwa wapi Na polisi alipoenda kuripoti Kyle Iringa hawajasema amewaeleza nn.

Mwenzetu endelea kufunguka ili nasi tujue kinachoendelea chini ya carpet
 
Wengine tumesoma na kugundua ubunifu wako. Je, umewahi kuona report yoyote ya polisi kuhusu; Roma mkatoliki, Ben saanane, Azory, Mwangosi, TAML na orodha ni ndefu mno! Wewe unataka kuwaambia kuwa haya yote no mkakati wa wapinzani wa rais kutaka kumchafua?

Mimi nafikiri tuendelee kungojea maelezo ya polisi kuhusu haya yote na mengine mengi (bila kujali itachukua muda gani); Na wewe labda ni vizuri ungojee sana mpaka siku yatakapo kukuta kwa karibu zaidi, labda ndo utakuwa na ubunifu chanya zaidi.

Je, yawezekana wewe ndo mvivu wa kufanya upembuzi makini kuhusiana na hali halisi ya nchi ilivyo? Tafakari sana!
Points zako zimekaa vizuri kabisa. Haya ndio malumbano ninayoyataka.

Mimi sikusema ninawasilisha UKWELI WA MAMBO. Nimesema hii ni DHANA au THEORY yangu.

Asante kwa mchango wako.
 
Kuna tetesi kuwa Nondo hakupotea bali amejipoteza mwenyewe maksudi.

Sijui ukweli hapa upo wapi kwa sababu hapo nyuma watu walipotea kikweli.

Ninachotaka kukielezea hapa chini ni dhana ya kuwa watu wanafanya maigizo au MIKAKATI ili ulimwengu uione serikali ya Magufuli kwa mtizamo m-baya.

xxxxxxxxxxxxxxxxxxxx

Kinachofuatia ni dhana ambayo inawezekana haina ukweli wowote. Work with me here:

FEBRUARY 16, 2018
Katika hitimisho la kampeni ya ile chaguzi ndogo ya Kinondoni:

HALIMA MDEE alisema (paraphrase):
Tufanye vurugu kama Libya, Syria au Iraq.
This is significant, nifuatilie.

FREEMAN MBOWE alisema (paraphrase)
Tunahitaji kuikabili serikali mpaka wauwawe watu 100 au 200.
This is also significant.

ANALYSIS
- Kama utakumbuka katika nchi alizozitaja MDEE, watu walikufa kwa mikono ya serikali.

Wakati "mataifa makubwa" walipotaka kuing'oa serikali walisema: He is out of control and HE KILLS HIS OWN PEOPLE.

Huu usemi kuwa "ANAUA WATU WAKE" ndiyo uliokua unasemwa kabla ya uvamizi na kupinduliwa kwa serikali husika na mataifa makubwa.

Alichokisema MBOWE haikua kuteleza kwa ulimi. Nadhani huu ndio mkakati mzima wa upinzani, hasa CDM, kuleta vurugu na kuwashambulia polisi mpaka polisi wawaue watu wengi.

Nadhani "handlers" wao waliwaambia kuwa kama watu 100 au 200 wakiuawa na polisi basi itayafanya mataifa makubwa watoe tamko kuwa:

Magufuli hafai, ANAWAUA WATU WAKE.
He is out of control, he is KILLING HIS OWN PEOPLE.

DHAMIRA
Kwa shinikizo hili la kuwa Magufuli ni kiongozi mbaya na sasa ANAUA RAIA WAKE MWENYEWE itakuwa rahisi kwa Security Council ya Umoja wa mataifa kuingilia kati.

Sote tunajua, kama UN Security Council italeta majeshi ya kuuingilia kati utawala wa Magufuli, ni nani hasa atakaeletwa.

NONDO
Je ni kweli kuwa, kama huu utekaji wa NONDO ni fekero, basi huu ni muendelezo tu wa haka kamchezo kachafu kanakochezwa na upinzani?
Weka ushahidi wa kwamba alijipoteza mwenyewe!
 
Naanza kupatwa na mashaka kuwa huenda kuna watu wanaunda matukio flani flani ili kutimiza azma zao za kisiasa dhidi ya rais Magufuli.

Mtu anaenda kujificha kwa mjomba wake huko halafu wenzake wanasema kapotea au katekwa halafu lawama anaanza kupewa rais Magufuli.

Haya matukio ya kupotea potea watu inabidi tuyaangalie kwa jicho la tatu na si kumeza kila kitu tukisikiacho.

Msidanganyike kirahisi. Stukeni.
Na aliyemuokota ni Juma Dogan kada wa ccm anaeishi dar lakini kwa siku hiyo alikua Mafinga ndiyo kamuokota kijana huyo na kumpa nauli ya Tax aende kuripot kituo cha police hapo chacha

Swali la kujiuliza
Kama tukio la kutengenezwa

kwanini aokotwe na Kada wa ccm anaeishi dar lakini cha ajabu siku hiyo alikua Mafinga na yeye ndiyo kamukota huyo kijana?
 
Tufanye assumption kwamba hakuna raia waliotekwa wala kuuwawa tangu sizonje aingie madarakani,,still kuna mengi ya kumuondoa na kumfanya asifae kuniongoza mim kama mtanzania. Hali mbaya kiuchumi,kushuka kwa thamani ya pesa,mfumuko wa bei,kauli mbovu(poor relationship) kwa wananchi wake,ukabila kuvuruga au kushindwa kusimamia mihimili mikuu ya taifa hasa mahakama,na kutokuwepo kwa tume huru ya uchaguzi,,atoke tu rais wa hivi wa nini sasa
 
Wapinzani wana resources gani kufanya haya?serikali ina polisi tiss jwtz wote hawa wasiyaone haya uyaone wewe?
Usiwadharau "WALA-MOTO" wa kisiasa wanachoweza kufanya.

Wanaweza kuivuruga nchi kwa kauli zao tu.
 
Watu kutekwa, kuuwawa, kupigwa risasi, n.k. yanaonekana kuwa matukio ya kawaida na ambayo ukomo wake haujulikani utakuwa lini na kwamba, wahusika ni akina nani na wana maana gani!
Najiuliza kwa sauti:
1. Je, ni serikali? Kama ni serikali, inafanya hivyo kwa sababu gani?
2. Je, ni vyama vya upinzani ili nyuma ya mgongo ionekane ni serikali na hivyo kupata ajenda ya kutaka serikali iwajibishwe ndani na nje?
3. Je, ni maadui wetu wa ndani na nje ili kuipaka matope serikali na kupata kiki ya kuihujumu isifikie mafanikio yake ya kiuchumi?
4. Je, ni waathirika wa vita dhidi ya ufisadi, madawa ya kulevya na wapiga dili ili kuipaka matope serikali na kuonesha ulimwengu na wananchi kuwa serikali yao ni ya kifedhuli?
Nashindwa kupata majibu!
Jamaa unaumiza kichwa!! Ukiunganisha dots utajua aliye nyuma ni Sizonje na mwanae Bashite!!
 
Watu kutekwa, kuuwawa, kupigwa risasi, n.k. yanaonekana kuwa matukio ya kawaida na ambayo ukomo wake haujulikani utakuwa lini na kwamba, wahusika ni akina nani na wana maana gani!
Najiuliza kwa sauti:
1. Je, ni serikali? Kama ni serikali, inafanya hivyo kwa sababu gani?
2. Je, ni vyama vya upinzani ili nyuma ya mgongo ionekane ni serikali na hivyo kupata ajenda ya kutaka serikali iwajibishwe ndani na nje?
3. Je, ni maadui wetu wa ndani na nje ili kuipaka matope serikali na kupata kiki ya kuihujumu isifikie mafanikio yake ya kiuchumi?
4. Je, ni waathirika wa vita dhidi ya ufisadi, madawa ya kulevya na wapiga dili ili kuipaka matope serikali na kuonesha ulimwengu na wananchi kuwa serikali yao ni ya kifedhuli?
Nashindwa kupata majibu!
Mwanzo umeanza vema ila hizo point zilizofuata umevuruga
 
Mzee wa Buza siku hizi tena .

Ina maana huyaoni haya yanayoendelea kwa urahisi kabisa .

Anyway nipo kwa mzee jongo kule kwa chini napata mihogo ya kukaangs
 
Kama huyu Kijana ukifwatilia kwa umakini utaona kuna Usanii mkubwa sana

Rai kwa Vijana wenzangu

Kila jambo lina wakati wake
Kwa nini kama ni usanii,vyombo vya dola visitumie intelijensia yake kubaini?
Hebu acheni hizi propaganda zenu uchwara! Kuna genge la wahalifu serikalini linatekeleza huu uhuni. The obvious can not be proved!
 
Watu kutekwa, kuuwawa, kupigwa risasi, n.k. yanaonekana kuwa matukio ya kawaida na ambayo ukomo wake haujulikani utakuwa lini na kwamba, wahusika ni akina nani na wana maana gani!
Najiuliza kwa sauti:
1. Je, ni serikali? Kama ni serikali, inafanya hivyo kwa sababu gani?
2. Je, ni vyama vya upinzani ili nyuma ya mgongo ionekane ni serikali na hivyo kupata ajenda ya kutaka serikali iwajibishwe ndani na nje?
3. Je, ni maadui wetu wa ndani na nje ili kuipaka matope serikali na kupata kiki ya kuihujumu isifikie mafanikio yake ya kiuchumi?
4. Je, ni waathirika wa vita dhidi ya ufisadi, madawa ya kulevya na wapiga dili ili kuipaka matope serikali na kuonesha ulimwengu na wananchi kuwa serikali yao ni ya kifedhuli?
Nashindwa kupata majibu!
Enderea usi ishie njiani kujipa matumaini hewa.
Ata walio mtolea bastola nape ni upinzani pia.yaani hawa wapinzani jamaa yangu wana matatzo sana.
Ata tundulisu wao ndiyo walihusika nakamera wakazing'oa.
Nazani umeflahi sana manana akili yako wenye akili tumesha kusoma.
 
Hv kwa hali ilivyo sasa no ajira-ajira zimeenda wapi? ajira mbona zipo kibao! au ulitaka za kuuza ngada? uchumi mbovu Maisha magumu - Fanya kazi, tunaofanya kazi mbona tupo poa tu! watu wafukuzwa kazi - Nani kafukuzwa? - au na wewe una vyeti feki? nenda shule! watu wanauawa hovyo maiti zinaokotwa - nani aliyeokotwa tukamzike? watu wanapigwa risasi bila hatia - huo ni uhalifu unashughulikiwa ila Mbowe atoe ushirikiano. hv mtu unaanzaje kumshabikia magufuri au mtoa uzi unaishi magogoni - Magufuli anahusikaje hapo?..
 
Back
Top Bottom