Matukio ya kukumbukwa

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,605
696,697
Theory ya toilet paper
FB_IMG_1483105140994.jpg
 
Muthiki ni mthito.,yaani ni munene...mwache tu akimbie mkuu KENZY.
 
Hawa unawaonea tu. Ni bahati tu kuwa "celebrity" katika jamii lakini haimaanishi kuwa wana uwezo wa kuchanganua mambo. Naamini na najua, wengi wao ni mizigo vibaya sana "darini". Wametumika 2010, wametumika 2015 na watatumika tena 2020. Hawana akili, utashi na nguvu ya kukwepa asali za wanasiasa; wawe wa upinzani au chama tawala.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom