Matukio ya Asili (Natural Disasters) kawaida huwa hayana pattern

Makanyaga

JF-Expert Member
Sep 28, 2007
10,327
6,849
Matukio ya Asili (Natural Disasters) kawaida huwa hayana pattern
  • Katika hali ya KAWAIDA, matukio ya asili huwa hayana pattern
  • Hii haimaanishi kuwa hayatakiwi kuwa na pattern hapana, yanaweza kuwa na pattern ILA NI KATIKA HALI ISIYO YA KAWAIDA TU; the unexpected always occurs
  • Na ikishakuwa ni katika hali isiyo ya kawaida, wakati mwingine (siyo mara zote) kunaweza kukawa na CAUSE ambayo inaweza isiwe NATURAL na ambayo inabdi ifanyiwe utafiti wa kina
Tukichukulia kwa mfano case ya Bermuda Triangle, haikuwa kitu cha kawaida kwamba vyombo vya majini vilikuwa vinaonyesha pattern ya kuzama eneo hilo tu na kwa frequency ya ajabu sana, halafu vinapotea kabisa pasipo kuonekana. Hii ilipelekea utafiti kufanyika ili kujua ni nini hasa kilikuwa kinasababisha pattern hiyo ya ya kuzama kwa vyombo hivyo.

Tukirudi sasa kwenye matetemeko MAKUBWA ambayo yameanza kutokea hivi karibuni nchini
  • Tetemeko la Ziwa Tanganyika, Desemba 2005; ndani ya maji, Ziwa tanganyika
  • Tetemeko la Dar es Salaam (June 2012); baharini kwenye maji
  • Tetemeko la Kagera (Septemba, 10, 2016); majini ndani ya Ziwa victoria
  • Tetemeko la Dar es Salaam (12 August 2020); baharini kwenye maji
Haya matetemeko yote ni makubwa sana na yametokea chini ya maji, na hakuna jingine la ukubwa wa mfano huu, ambalo llimeshalotokea nchi kavu.

Kuna moja liliwahi kutokea Dodoma nadhani ilikuwa June 2016 likaharibu nyumba, lilikuwa la nchi kavu, japo sikumbuki kama lilikuwa na ukubwa unaoweza kulingana na haya yanayoendelea kutokea majini. Nadhani mpaka muda huu, ni tetemeko moja tu kubwa, ambalo limeshatokea nchi kavu.

Ukiangalia Historia ya matetemeko makubwa ndani ya nchi yetu,utaona kuwa kubwa la mwisho lilitokea mwaka 1913 huko Katavi, halafu likafuatiwa sasa na Ziwa Tanganyika mwaka 2005. Kwa kipindi cha takribani miaka 100, hatukuwahi kuwa na matetemeko makubwa iwe ni majini au nchi kavu, pamoja na kuwa kweli tuko kwenye ukanda wa matetemeko.

Hii sasa inaonyesha kuwa kuna haja ya kufanya utafiti wa kina kuhusu chanzo cha matetemeko haya. Ni kweli tuko kwenye ukanda wa matetemeko lakini hapo awali hapajawahi kutokea chanzo (source) ya matetemeko makubwa ukanda wa Pwani ya Dar es Salaam, na sina uhakika kama palishawahi kuwa na source yoyote ile ya matetemeko hata yale ambayo ni madogo. Hata hivyo naomba nikiri kuwa mimi siyo professional pia kwenye maswala ya Jiolojia au Jiofizikia, ila ninatumia mwanga tu kidogo wa elimu yangu ya kwaida pamoja na common sense.

Hizi source zinazoanza kuibuka hivi sasa, kuna haja ya kuziangalia kwa macho mawili, moja la kitaalam (professional eye) na jingine la ki-intelijensia (intelligency eye).

MUBARKIWE TENA NA BWANA
 
Relative Index. Unakisisimua hiki ili kitokee hiki; kumbuka tuna mafuta na gesi eeeh! Basi tuishie hapa.
 
Matukio ya Asili (Natural Disasters) kawaida huwa hayana pattern
  • Katika hali ya KAWAIDA, matukio ya asili huwa hayana pattern
  • Hii haimaanishi kuwa hayatakiwi kuwa na pattern hapana, yanaweza kuwa na pattern ILA NI KATIKA HALI ISIYO YA KAWAIDA TU; the unexpected always occurs
  • Na ikishakuwa ni katika hali isiyo ya kawaida, wakati mwingine (siyo mara zote) kunaweza kukawa na CAUSE ambayo inaweza isiwe NATURAL na ambayo inabdi ifanyiwe utafiti wa kina
Tukichukulia kwa mfano case ya Bermuda Triangle, haikuwa kitu cha kawaida kwamba vyombo vya majini vilikuwa vinaonyesha pattern ya kuzama eneo hilo tu na kwa frequency ya ajabu sana, halafu vinapotea kabisa pasipo kuonekana. Hii ilipelekea utafiti kufanyika ili kujua ni nini hasa kilikuwa kinasababisha pattern hiyo ya ya kuzama kwa vyombo hivyo.

Tukirudi sasa kwenye matetemeko MAKUBWA ambayo yameanza kutokea hivi karibuni nchini
  • Tetemeko la Ziwa Tanganyika, Desemba 2005; ndani ya maji, Ziwa tanganyika
  • Tetemeko la Dar es Salaam (June 2012); baharini kwenye maji
  • Tetemeko la Kagera (Septemba, 10, 2016); majini ndani ya Ziwa victoria
  • Tetemeko la Dar es Salaam (12 August 2020); baharini kwenye maji
Haya matetemeko yote ni makubwa sana na yametokea chini ya maji, na hakuna jingine la ukubwa wa mfano huu, ambalo llimeshalotokea nchi kavu.

Kuna moja liliwahi kutokea Dodoma nadhani ilikuwa June 2016 likaharibu nyumba, lilikuwa la nchi kavu, japo sikumbuki kama lilikuwa na ukubwa unaoweza kulingana na haya yanayoendelea kutokea majini. Nadhani mpaka muda huu, ni tetemeko moja tu kubwa, ambalo limeshatokea nchi kavu.

Ukiangalia Historia ya matetemeko makubwa ndani ya nchi yetu,utaona kuwa kubwa la mwisho lilitokea mwaka 1913 huko Katavi, halafu likafuatiwa sasa na Ziwa Tanganyika mwaka 2005. Kwa kipindi cha takribani miaka 100, hatukuwahi kuwa na matetemeko makubwa iwe ni majini au nchi kavu, pamoja na kuwa kweli tuko kwenye ukanda wa matetemeko.

Hii sasa inaonyesha kuwa kuna haja ya kufanya utafiti wa kina kuhusu chanzo cha matetemeko haya. Ni kweli tuko kwenye ukanda wa matetemeko lakini hapo awali hapajawahi kutokea chanzo (source) ya matetemeko makubwa ukanda wa Pwani ya Dar es Salaam, na sina uhakika kama palishawahi kuwa na source yoyote ile ya matetemeko hata yale ambayo ni madogo. Hata hivyo naomba nikiri kuwa mimi siyo professional pia kwenye maswala ya Jiolojia au Jiofizikia, ila ninatumia mwanga tu kidogo wa elimu yangu ya kwaida pamoja na common sense.

Hizi source zinazoanza kuibuka hivi sasa, kuna haja ya kuziangalia kwa macho mawili, moja la kitaalam (professional eye) na jingine la ki-intelijensia (intelligency eye).

MUBARKIWE TENA NA BWANA
Mkuu umesahau uliwahi dokeza kwenye ule uzi unaoandika "mapambano dhidi ya COVID 19" kuwa oil and gas explorations baharini na maziwani ndio sababu ya haya matetemeko ukanda huu?!!
 
Mkuu umesahau uliwahi dokeza kwenye ule uzi unaoandika "mapambano dhidi ya COVID 19" kuwa oil and gas explorations baharini na maziwani ndio sababu ya haya matetemeko ukanda huu?!!
Vipi hapa wewe unaona kama nimekanusha?
Hapana sijakanusha, ila tu pia bado ni hypotheis. Nilisema iInaonyesha KAMA. Na hii ilikuwa ni kwa yale yaliyopita, siyo kwa hili la sasa!
 
Vipi hapa wewe unaona kama nimekanusha?
Hapana sijakanusha, ila tu pia bado ni hypotheis. Nilisema iInaonyesha KAMA. Na hii ilikuwa ni kwa yale yaliyopita, siyo kwa hili la sasa!
Unatofautishaje hili la sasa na yaliyopita?
 
Unatofautishaje hili la sasa na yaliyopita?
Soma na hii hapa pia, inahusiana na uwepo wa Mungu

Dalili kubwa kabisa na ya pekee inayoweza kukufanya ujue kama Mungu yupo, (ambayo isipokutokea katika maisha yako, huwezi kujua kuwa Mungu yupo hata kama ungeishi miaka million 3), ni hii hapa: ni pale tu inapotokea unakuja kugundua kuwa matukio karibia yote uliyokuwa unayaona katika maisha yako kuwa ni coincidences, hazikuwa coincidences na yana conform to a certain very well organised pattern, na ya hali ya juu sana kuonyesha kuwa yalikuwa deliberately planned but by no one you know of in this world, except that either nature au someone special, na yamekuwa organised katika namna ambayo hata wewe mwenyewe ungeambiwa uyapange kwa utaalamu huo, usingeweza.

Sasa ukirudi kwenye nature, yenyewe haina organised pattern, ina random pattern au coincidences tu na ndiyo maana inapotokea kuna pattern somewhere inabidi watu wafanye utafiti, kwa mfano the most poular case of the Bermuda Triangle, watu walishtuka baada ya kuona kama kuna pattern ikabidi waanze kufanya utafiti. Nature huwa haina organized pattern na ukikuta kuwa organized pattern ipo, na katika matukio ambayo ni natural kwa maana kwamba si binadamu anayehusika wala si nature inayohusika, then huyo ni Mungu. Hiyo ndiyo revealation pekee hapa duniani inayoweza kukufanya u-confirm uwepo wa Mungu.

Revealation ya namna hii huwa inatokea kwa kila binadamu ila uwezo wetu wa ku-capture scenes za namna hii ndiyo tunaotofautiana kwa kiwango kikubwa sana, lakin the best thing ni kwamba kila mwanadamu anao. Hata hivyo, mwingine anakuwa ana uwezo mdogo mno wa kuona pattern from a mixed set of several coincidences na hii ndiyo inakuwa shida, hawezi akaja aka-discern uwepo wa Mungu hata angeishi miaka billion 10!

Kwa mfano Kanisani kuna kitu kinaitwa Ujazo wa Roho Mtakatifu. Watu walioko kanisani wana-enjoy karama hii kwa viwango tofauti tofauti , hawafanani, na kulingana na wanavyoamini ni kwamba wale ambao hawako Kanisani hawana karama hii. Still, utafiti wangu umekuja kunionyesha kuwa watu wote wana Karama hii, isipokuwa inakuwa enhanced zaidi kwa mtu anayeenda Kanisani ukilinganisha na yule ambaye huwa haendi. Lakini hata wale ambao wamo Kanisani, wanaipokea kwa viwango tofauti tofauti, hawalingani. Na kwa wale ambao huwa hawaendi kabisa makanisani walishaibatiza jina MACHALE, bila kujua kuwa ni Roho Mtakatifu!

By the way, let me pose a fundamental question to you. Hapo ulipo sasa hivi kuna vitu physical vimekuzunguka, ambavyo si viumbe hai. Vyote ni kazi ya mikono ya wanadamu. Je, kwa vile ambavyo si kazi ya mikono ya wanadamu ukiwemo wewe mwenyewe, ni kazi ya nani?

cc: Kiranga
 
Back
Top Bottom