Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
- Thread starter
- #81
Kuna lile la kumteua mtu kuwa mkuu wa wilaya wakati ana kesi ya jinai mahakamani. Kama sikosei huyu alikuwa mbunge wa zamani wa Biharamulo. Uteuzi ulisitishwa baadae wakati anakwenda kuripoti.
Hii ilisahaulika.