Masterproud
JF-Expert Member
- Sep 14, 2012
- 440
- 116
Mwizi huwa hachagui pakuiba. popote huingia ilimradi atapata chenye manufaa kwake. Wizi sio dini. Naomba tusichanganye na kulazimisha vitu ambavyo katu havichangamani. Uislamu ni wenye kupinga vikali suala la wizi na ni dhambi. Huo ulikuwa ni wizi kama wizi mwingine ila imetokea tu matukio kufanyika muda mmoja na sio ajabu sn kuwa hivyo.