SILVANUS MUMBA
Senior Member
- Aug 22, 2015
- 149
- 55
Hahahaha Tukubali kushindwa Jamaa wametuzidi ujanja ninauhakika yule anayefanya majumukisho anaongoza 3000 kwa Magufuli
Acha uchochezi matokeo ya mijini ambapo bodaboda ni wengi kama vile dar tanga mjini mbeya mjini mwanza hayajatangazwa
kwa hali hii hata kama mimi ni luwassa sikubali matokeo
[video]hii kweli ndio amani ya nchi hii kweli ndio democrasia ccm?.[/video]
Hatuwezi kumkumbuka Slaa we JingaNaona NEC imeanza kutangaza ngome za Magufuli na lowassa anachezea kichapo vilivyo....mtamkumbuka Slaa
Naona NEC imeanza kutangaza ngome za Magufuli na lowassa anachezea kichapo vilivyo....mtamkumbuka Slaa