Mbona watu wamesafirishwa? Mimi nilijiandikishia Arusha na nimepata usafiri wa bure...
Huyo labda Ni mwanachu wa Chuo cha mapishi naona!
Wewe nawe mshamba tu kama hutapiga kura!
Unajua nia yao lakini kuna wasamaria walishajitolea kuwasafirisha wanachuo popote walipo wakapige kura,
Kwa hiyo kama ulikuwa umejificha utakuwa umechangia kujinyima HAKI yako mwenyewe.
labda ni wa datastarMwanachuo wa wapi wewe! hakuna mwanachuo sharp ambaye amekosa kupiga kura! facilitation zilikuwa za kutosha sana tu!
Kituo kimara stop over Kuna tatizo la kuisha kwa karatasi za mgombea uraisi, watu wanaambiwa wapige za wabunge na madiwani tu.
mbarali karatasi za madiwani hakuna.
Hawa jamaa wanapenda sana taarab hata sku ya kuzama meli ya Spice Islander kama kawaida yao walikua wameweka taarab