bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,697
- 4,107
Hatumujui, ndiye nani huyo?
shindwa kwa jina la YESU.
Hatumujui, ndiye nani huyo?
Mtu mwenyewe anajiita singidadodoma unategemea nini hapo???
Kuanzia kushambulia jamiiforum kwa virus, kuhack simu za mbowe na murema ni dalili tosha ya kwanza mfa maji aikuwa anatapatapa.
Na baada ya nec na tcra povu kuwatoka kwa mikwara eti matokeo yaliyosainiwa vituoni si halali mpk macho ya tume yaseme ndio tulijua hali si hali.
Na mara wametengezeza account fake kujipa matumaini eti kuwa wanaongoza na wao yaonyesha wanajikongoja kwa taabu.
Na baaada ya refa kukataa goli la mkono kwa raia jana kukaata mabox kibao ya kura za mgufuli zilizopigwa na kuzichoma huko geita moshi kimara na wale wanafunzi wakakumbuka kumbe mamvi katoa elimu bure wakayamwaga road....hali ikazidi kuwa mbaya zaidi.
Uvamizi wa tallying centre ya ukawa ni dalili tosha sasa pumzi imekata kabisa na ni mrija tu ndio umebaki.
Sasa basi ndugu yangu mbowe embu tutangzie sie kwa techinc ya nigeria na muyarushe huko bbc cnn al jazeera ili washindwe kabisa kuchakachua
yaaani nasikia rahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
kama unatwitter tafuta account ya,UCHAGUZI MKUU,,,,matokeo yapo kila vituo wanaupdate,,karibu vituo vyote tangu jana magufuli anaongoza,,,ina maana hali ikiendelea hivi mpaka jioni,tayari jibu litapatikana
kama unatwitter tafuta account ya,UCHAGUZI MKUU,,,,matokeo yapo kila vituo wanaupdate,,karibu vituo vyote tangu jana magufuli anaongoza,,,ina maana hali ikiendelea hivi mpaka jioni,tayari jibu litapatikana