WINGER_TEREZA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 242
- 450
Ndugu wana jukwaa,
Week kama mbili zilizopita kulilipotiwa kuungua kwa mabweni ya shule ya waislam pale Ilala (Jina la Shule silikumbuki), Jana kumeripotiwa kuungua kwa bweni la shule ya Waislamu ya Kinondoni na leo hii tena kumeripotiwa kutokea kwa tukio hilo hilo kwa bweni la shule ya Waislamu ya Mivumoni iliyopo pale msikitini wa Mtambani - Kinondoni.
Kuna mengi ya kujiuliza juu ya kuendelea kwa matukio mfululizo ya aina moja hasa kwa ndugu zetu hawa Waislamu, vipi haya matukio yamepagwa?, nani anaratibu na kufadhili huu mpango muovu?, na kwa lengo gani?, Je haya matukio yanauhusiano wowote na kushikiliwa kwa katibu wa shura ya maimamu nchini (Shekh Ponda)?
Maswali ni mengi kuliko majibu na sidhani kama jeshi letu ' makini ' la polisi linaweza kutupatia majibu ya kweli na kwa wakati sahihi juu la huu mgagasuko unaoendelea kwa hawa ndugu zetu!.
Week kama mbili zilizopita kulilipotiwa kuungua kwa mabweni ya shule ya waislam pale Ilala (Jina la Shule silikumbuki), Jana kumeripotiwa kuungua kwa bweni la shule ya Waislamu ya Kinondoni na leo hii tena kumeripotiwa kutokea kwa tukio hilo hilo kwa bweni la shule ya Waislamu ya Mivumoni iliyopo pale msikitini wa Mtambani - Kinondoni.
Kuna mengi ya kujiuliza juu ya kuendelea kwa matukio mfululizo ya aina moja hasa kwa ndugu zetu hawa Waislamu, vipi haya matukio yamepagwa?, nani anaratibu na kufadhili huu mpango muovu?, na kwa lengo gani?, Je haya matukio yanauhusiano wowote na kushikiliwa kwa katibu wa shura ya maimamu nchini (Shekh Ponda)?
Maswali ni mengi kuliko majibu na sidhani kama jeshi letu ' makini ' la polisi linaweza kutupatia majibu ya kweli na kwa wakati sahihi juu la huu mgagasuko unaoendelea kwa hawa ndugu zetu!.