Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,793
- Thread starter
- #41
Wanafanya mambo mengi sana yakiwemo maamuzi magumu yenye kugusa maslahi ya mataifa makubwa. Mh..mmh..mmh....!!!Wao kuhudumiwa na serikali hakufanyi zawadi wanazopewa zisiwe na maana. Wanafanya mambo mengi sana yakiwemo maamuzi magumu yenye kugusa maslahi ya mataifa makubwa.
Kumbuka kuwa hizi zawadi zote mbili zilikuwa zitolewe na Hayati JPM. Katiba ni muhimu siku zote japo sidhani kama italeta chochote kipya kwa maana ya kuwaenzi marais waliotangulia.
JPM alitoa mpaka tausi kwa marais majirani zetu. Uungwana ni jambo jema sana.
Hawa hawako madarakani Philipo hawa ni wastaafu tena wa kitambo ndugu yangu...!!!!