Sijaona hoja ya kujibu, kwani sioni ni kifungu gani cha sheria kimevunjwa, hapa umetoa mtazamo wako wewe binafsi kadhalika nami vivyo hivyoAsante nilitegemea ujibu kwa hoja sasa unaaza kuleta uswahili
Mama yangu mkubwa ni mwalimu alistaafu mwaka 2019 akiwa katika nyumba yake Tabora ila baada ya kustaafu serikali ikampa pesa zake za mafao kwa mujibu wa sheria. Sasa mwalimu huyu ana tofauti gani na mfano wa mzee JK ulioutoa hapo juu?JK tangu astaafu yuko kwake Msoga au hulijui hilo? Na kama ni ishu ya usalama kwanini sasa na si wakati ule? Hivi unajua kwamba JK ana mji wake mwingine pale Moroco?
Hebu soma ulichoandika hapa kama kinaakisi nilichoandika mimiMama yangu mkubwa ni mwalimu alistaafu mwaka 2019 akiwa katika nyumba yake Tabora ila baada ya kustaafu serikali ikampa pesa zake za mafao kwa mujibu wa sheria. Sasa mwalimu huyu ana tofauti gani na mfano wa mzee JK ulioutoa hapo juu?
Ungekuwa Namba1 ungeelewa haraka, ila sasa itabidi tukumegee kidogo kwa fumbo, "Inawezekana Mkeo au Mumeo anatumika pia kwa mtu mwingine bila wewe kujua hata kuhisi tu kuwa anatumika hujui, ikiwa hivyo ujue hali hiyo haiwezi kukuathiri, sasa ikifika time ukaona, ukasikia mwenyewe, shida ndipo inapooanzia"Chokochoko zenu msingi wenu ni roho za wivu.
Hata asingepewa Mwinyi still usingezifaidi kwa namna yoyote
Basi tusiende mbali mkuu. Have a wonderful day brother.Hebu soma ulichoandika hapa kama kinaakisi nilichoandika mimi
Mkuu, hivi unajua kadri unayofahamu mengi ya nchi ndivyo unavyokuwa katika hatari ya kuwindwa na maadui wa taifa? Waliotayari kufa kwa ajili ya kuitetea nchi ndio wanaofaa kuiongoza.
Viongozi wastaafu hutunzwa kwa mujibu wa sheria na kanuni za nchi.
Acha kufananisha viongozi waandamizi na wananchi wa kawaida. Katika nchi yoyote ni lazima kuwe na kundi dogo litakalowaongoza wengine ndio maana hapa Tanzania kundi hilo linakaa maeneo kama Oysterbay na Masaki
Sawa ndugu yangu, have a wonderful day.Hapana siendi mbali ndugu yangu tunahojiana tu kwenye huu mjadala
Ungeweka kwa uchache hayo maneno ya mama samia ingependeza zaidi, tungeweza kuona unaumia vipiBinafsi haya matukio mawili yameniumiza na sababu ya kuumia ni maneno ya mama aliyowaambia wafanyakazi wa umma siku ya wafanyakazi duniani. kweli mwenye nacho ataongezewa.
Mkuu mtoa mada hakuwa na maana hiyo unayofikiria wewe. Yeye kaeleza wazi kuwa Wastaafu wale wanalelewa na Serikali kwa maisha yao yote yaliyosalia Duniani pamoja na wenzi wao. Nyumba na magari wanayoyatumia hivi sasa yanahudumiwa na Serikali kwa 100%.
Tukiachilia mbali magari watakapohamia kwenye makazi yao mapya bado huko yataendelea kuhudumiwa. Hata zile nyumba za awali zitaendelea kuhudumiwa na Serikali. Kwako wewe huoni ni mzigo usio wa lazima kwa nchi kama hii yenye hispt zisizokuwa na madawa? Na shule zisizokuwa na madawati??
Kwa tafsiri yangu mimi hii ni namna ya Kiongozi aliyeko Madarakani kuwaziba midomo Watangulizi wake ili wasimkosoe pale anapoboronga. Nasema hivyo kwasababu nyumba hizi hzina uwiano kwenye dhmani bali hutegemea utashi wa Rais aliyeko Madarakani. "Katiba Mpya ni Muhimu".
Naona wapinga hoja hawajasoma na kuelewa nilichoandikaUngekuwa Namba1 ungeelewa haraka, ila sasa itabidi tukumegee kidogo kwa fumbo, "Inawezekana Mkeo au Mumeo anatumika pia kwa mtu mwingine bila wewe kujua hata kuhisi tu kuwa anatumika hujui, ikiwa hivyo ujue hali hiyo haiwezi kukuathiri, sasa ikifika time ukaona, ukasikia mwenyewe, shida ndipo inapooanzia"
Anachokisema Mshana Jr ni juu ya hawa viongozi kujitungia sheria za kujilimbikizia mali ilihali hawana shida ukilinganisha na sehemu kubwa ya watu wasio na mali! Viongozi wanapaswa kutathmini kwa nini wananchi wame-react kiasi hicho na ikiwapendeza basi wafanye utaratibu wa kubadili sheria zinazowafanya walalamikiwe kwa issue kama hizo!
Wao kuhudumiwa na serikali hakufanyi zawadi wanazopewa zisiwe na maana. Wanafanya mambo mengi sana yakiwemo maamuzi magumu yenye kugusa maslahi ya mataifa makubwa.Mkuu mtoa mada hakuwa na maana hiyo unayofikiria wewe. Yeye kaeleza wazi kuwa Wastaafu wale wanalelewa na Serikali kwa maisha yao yote yaliyosalia Duniani pamoja na wenzi wao. Nyumba na magari wanayoyatumia hivi sasa yanahudumiwa na Serikali kwa 100%.
Tukiachilia mbali magari watakapohamia kwenye makazi yao mapya bado huko yataendelea kuhudumiwa. Hata zile nyumba za awali zitaendelea kuhudumiwa na Serikali. Kwako wewe huoni ni mzigo usio wa lazima kwa nchi kama hii yenye hospt zisizokuwa na madawa? Na shule zisizokuwa na madawati??
Kwa tafsiri yangu mimi hii ni namna ya Kiongozi aliyeko Madarakani kuwaziba midomo Watangulizi wake ili wasimkosoe pale anapoboronga. Nasema hivyo kwasababu nyumba hizi hazina uwiano kwenye dhamani bali hutegemea utashi wa Rais aliyeko Madarakani. "Katiba Mpya ni Muhimu".
ThanksPamoja nawe kaka
Ina maana haujui siku zote anaendeshwa na dereva Wa serekali na walinzi pia anapewa?Mwinyi anauwezo wa kuendesha Gari?
Bora angempa zawadi ya kununua kopi 100 za kitabu chake kuliko kununua gari lisilo na matumizi
Yawe Yawe.
Ubarikiwe sana.Gari sio lolote kulinganisha na mchango wa Mzee Mwinyi aliyekuwa ameachiwa nchi na Hayati Nyerere ikiwa hoi kiuchumi.
Wenzangu na mimi tuliokuwa tunaelewa nini kinaendelea duniani miaka ile ya 1980 mwanzoni tutakumbuka kula ugali wa Yanga na yale maduka ya kaya, kila nyumba inakuwa na daftari la bidhaa za kununuliwa hapo dukani. Mwinyi alifanya mengi mpaka hali ikaanza kuwa njema.
Zawadi ya Nyumba ya Mzee Kikwete sio lolote kulinganisha na miradi aliyoianzisha na yenye kuendelea kuleta mabadiliko ya kijamii.
Hiyo nyumba haina thamani kulinganisha na wagonjwa wa moyo wanaotibiwa na kupona pale MOI.
Hiyo nyumba haina thamani kulinganisha na wasafiri wote wanaotumia mwendo kasi asubuhi mchana na jioni.
Hiyo nyumba haina thamani kulinganisha na namna umeme wa REA unavyoibadilisha kabisa Tanzania kiuchumi.
Umaskini wa kichwani ni mbaya sana, kwani siku zote mtu analalamika mpaka anasahau kuwa kwa kufanya hivyo anamkufuru Mungu aliyemjalia vipaji vingi.