mihadarati
JF-Expert Member
- Aug 27, 2013
- 268
- 74
Haya ni miongoni mwa matukio makubwa yaliyotokea kwa mwaka 2013 ambao tunaelekea kuuaga na kuukaribisha mwaka 2014.
Nitaorodhesha matukio ambayo kwa upande wangu naona yalipewa nafasi kweye vyombo vya habari hapa nchini na kuvuta hisia za watanzania wengi,ila na wew unakaribishwa kuongeza ambayo ntakuwa sijayaweka hapa,karibu..
1.Tukio kubwa na lililopewa nafasi kwenye vyombo vya habari hapa nchini pamoja na kuvuta hisia za watu ni pamoja na Ujio wa Raisi wa Marekani Baraka Obama.
2.8Kifo cha aliyekuwa Mjumbe wa tume ya Katiba Sengondo Mvungi.
3.Operesheni Tokomeza ujangili iliyotekelezwa kwa uonevu mkubwa na kupelekea wananchi wasiokuwa na hatia kuuawa na kuachwa walemavu hatimaye kuwang'oa mawaziri wanne.
4.Kuvuliwa nyadhifa alizokuwa nazo ndani ya Chama Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zito Kabwe.
5.Tukio la kupigwa risasi Mtangazaji wa kituo cha television cha ITV Ufoo Saro na mama yake mzazi kuuawa na aliyekuwa mzazi mwezanke Anthery Mushi ambaye naye alijiua kwa kujipiga risasi.
6.Kuuawa kwa Padre Evarist Mushi Huku zanzibar.
7.Mgogoro wa Gesi uliotokea Mtwara.
8.Mauaji ya Mfanyajiabishara Erasto Msuya.
9Kifo cha wakili maarufu mjini Arusha Nyaga Mawalla.
karibuni wadau...
Nitaorodhesha matukio ambayo kwa upande wangu naona yalipewa nafasi kweye vyombo vya habari hapa nchini na kuvuta hisia za watanzania wengi,ila na wew unakaribishwa kuongeza ambayo ntakuwa sijayaweka hapa,karibu..
1.Tukio kubwa na lililopewa nafasi kwenye vyombo vya habari hapa nchini pamoja na kuvuta hisia za watu ni pamoja na Ujio wa Raisi wa Marekani Baraka Obama.
2.8Kifo cha aliyekuwa Mjumbe wa tume ya Katiba Sengondo Mvungi.
3.Operesheni Tokomeza ujangili iliyotekelezwa kwa uonevu mkubwa na kupelekea wananchi wasiokuwa na hatia kuuawa na kuachwa walemavu hatimaye kuwang'oa mawaziri wanne.
4.Kuvuliwa nyadhifa alizokuwa nazo ndani ya Chama Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zito Kabwe.
5.Tukio la kupigwa risasi Mtangazaji wa kituo cha television cha ITV Ufoo Saro na mama yake mzazi kuuawa na aliyekuwa mzazi mwezanke Anthery Mushi ambaye naye alijiua kwa kujipiga risasi.
6.Kuuawa kwa Padre Evarist Mushi Huku zanzibar.
7.Mgogoro wa Gesi uliotokea Mtwara.
8.Mauaji ya Mfanyajiabishara Erasto Msuya.
9Kifo cha wakili maarufu mjini Arusha Nyaga Mawalla.
karibuni wadau...