Kama hivyo basi ni jambo jema, huenda umeubaini ukweli wa uliyoyaamini awali.We una matatizo sana. Kwa hiyo mtu kutaka sheria ifuate mkondo ni kosa?
Kama hivyo basi ni jambo jema, huenda umeubaini ukweli wa uliyoyaamini awali.We una matatizo sana. Kwa hiyo mtu kutaka sheria ifuate mkondo ni kosa?
Sikuelewi kabisa.Kama hivyo basi ni jambo jema,huenda umeubaini ukweli wa uliyoyaamini awali.
Mpakani watu wanauliwa na magaidi tokea Msumbiji, wanajeshi wapo mitaani wanapambana na wapinzani wa CCM.Ni ujinga na upumbafu kuwatukana wanajeshi wanaokulinda, waliwalinda wazazi wako wakati wanakutafuta kutoka kwenye maungo yao. Hao jeshi wanasimamia sheria tuliyojitungia(kwa kutumia vyombo vyetu kadiri ya katiba), kwa nini uwatukane sasa. Hao jeshi wanatembea na silaha za moto. Maalim na TAL msiwadanganye watoto wetu, tunaumia sisi wazazi na ndugu. Lissu watoto wake amewaacha Ulaya, Maalim sijui wa kwake wako wapi.
Jibu la kiuwendawazimu.Swali la kipumbavu
Matusi yapo wapi katika huu ushahidi wako uliouleta?Huyo jamaa ni mpuuzi, we angalia hapo hiyo video yote katika hao wote wamemchomoa yeye tu. Huwezi kupigwa bila sababuView attachment 1612680
CDF hapo anafeli sana kusimamia heshima kama mkuu wa majeshi! Na ni kama hawajui wanajeshi wenzake vizuri...!Sishangai JW kua kama FFU ..yaani hata CDF kawa kama mpambe wa rais kila sehemu yupo
Upendo wamemwachia? Maafande wanawashwa kupiga wananchi wasije wakamvunja kiuno.Sisi tunasubiri Lissu atuamrishe tuingie front za Barabarani
Atasababisha watu wafe alafu aje kula bata Dar.Maalim Seif azidi kusisitiza kuwa sasa ni "JINO kwa JINO"
Nimekuwa nikikuambia ccm haina uwezo wa kushinda kwa kura halali. Sasa ukweli huo hadharani.Atasababisha watu wafe alafu aje kula bata Dar.
Huwezi kuuwa watu wote dunia ya Leo.Atasababisha watu wafe alafu aje kula bata Dar.
Maalim na TAL damu ya watoto wetu ikimwagika watahusika. TAL wanae wanakula maisha ulaya,huku anacheza na akili za watoto wetu. Maalim wanae sijui wako wapi,sidhani kama wapo zenji. Zikinuka maalim atakuja maisha bara,serena hotel.. Hivi ni lazima maalim awe Rais wa Zanzibar?? Eti lazima kulinda ushindi!! Kwani kura imepigwa?? Asicheze na akili za watu,amani italindwa kwa gharama yoyote,asilete ushenziMaalim Seif azidi kusisitiza kuwa sasa ni "JINO kwa JINO"
"Ukombozi hauwezi kuletwa kwa kunywa kahawa lazima Damu imwagike" Sheikh Ponda Issa PondaMaalim na TAL damu ya watoto wetu ikimwagika watahusika. TAL wanae wanakula maisha ulaya,huku anacheza na akili za watoto wetu. Maalim wanae sijui wako wapi,sidhani kama wapo zenji. Zikinuka maalim atakuja maisha bara,serena hotel.. Hivi ni lazima maalim awe Rais wa Zanzibar?? Eti lazima kulinda ushindi!! Kwani kura imepigwa?? Asicheze na akili za watu,amani italindwa kwa gharama yoyote,asilete ushenzi
Labda tuanze na yeye,asianze kulialia... Subiri muziki wake."Ukombozi hauwezi kuletwa kwa kunywa kahawa lazima Damu imwagike" Sheikh Ponda Issa Ponda
Watu wanataka HAKI kwanini badala ya kuwapa HAKI uanze kuwapigaLabda tuanze na yeye,asianze kulialia... Subiri muziki wake.
Hilo la kusababisha watu wafe ndio sababu ya kuwa Ccm huwa haishindi uchaguzi.?Nimekuwa nikikuambia ccm haina uwezo wa kushinda kwa kura halali. Sasa ukweli huo hadharani.
Ni kweli, mimi nilichopinga ni sababu ya mtoa post kusema eti kosa ni kuvaa shati la ACT
Hiyo video imekatwa kwa makusudi, angalia full video chini uone katika umati wote huo wamemchukua yeye tu
View attachment 1612684