Mattaka amfungulia Mkewe Bureau De Change Ofisi za ATCL

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,138
Baada ya zoezi la kutaka kuuza jengo la ATCL akisshirikiana na Mwenyekiti wa Cotwu taifa
CEO wa ATCL Mpaka mh waziri akafikia kuchukua hati za jengo,Mh d mattaka sasa amekuja na njia nyingine kwa kumkodishia mkewe sehemu ya ofisi za ndan za ATCL ambayo mpaka jana ilikuwa ikitumiwa na telephone operator.

Hivi sasa ninavyoongea tukiwa na huzuni tunaomba waandishiwa habari mje hapa jengo la ATCL
Kuona ujenzi unavyoendelea kwa haraka..habari zaidi zinasema swala hili la mkewe alilipeleka
kwenye vikao vya chama cha wafanyakazi kuomba nafasi hapo ndani na bada ya kumkatalia
akaamua kumtumia dada mmoja anaejiita kama Meneja mauzo akiwa hana sifa halisi ya cheo hicho

Ikumbukwe meneja huyo huyo ndie aliearibu ATCL akiwa kama meneja wa ATCL comoro ambapo mpaka leo hii tunaongea ATCL inadaiwa zaidi ya million 175 kutoka serikali ya comorro na baadhi ya wafanyabiashara..na hili lilipelekea ,mmoja wa mwanae aliekuwa akifanya biashara comoro kupigwa marufuku kuingia comoro kutokana na biashara haramu iliokuwa ikiendelea

Hakika sasa naona Mkurugenzi ameamua Kuondoaka na Jengo alisema mmoja wa wafanyakazi kwa uchungu mkubwa..Habari zaidi zinasema aliekuwa akifanya kazi kama operation operator amehamishiwa juu kwa muda akitafutiwa nafasi ya kukaa huku ofisi yake ikitayarishwa kwa ajili ya BUREAU DE CHANGE ya mama Mattaka

WAZIRI HUSIKA,Ofisi ya Raisi inayoshugulikia mali za umma nafikiri umefika wakati sasa kuanza kuwa sirias na Mali za watanzania bila kujali urafiki ushoga baina yenu..Huu ni utapeli aiwezekani ukamwondoa mtu na kumweka kujiwekea ofisi yako binafsi ndani ya kampuni..hali ukijua iko kwenye mchakato wa kutafuta mbia...Habari zaidi zinasema mkataba umeshaandikwa na ni wa miaka 5..na tayari mmoja wa Mameneja anajiita Meneja Mauzo amewatangazia watu hata mwende wapi hiyo BUREAU DE CHANGE Itafunguliwa na mwenye kupiga kelele ataondoka yeye kabla ya wao kuondolewa

Kwa maneno haya sidhana kama anastahili hata cheo cha usecretary kwa ujumla...Kwanza nafikiri ifike wakati serikali ianze kufwatilia swala la Elimu kwa viongozi wa shirika hili ikiwemo watu kama hawa wanaochangia kuua kampuni kwa kujilimbikizia hela za ATCL mpaka kufikia kujenga ma super market yasiyo na idadi na kujisifia akuna mwenye uwezo wa kuwaondoa ATCL

Mh Waziri tunaomba uingilie kati else tutaandamana mpaka mwisho kujua swala hili la kuagaiana Jengo lianaendaje..ikumbukwe n mkurugenzi huyuhuyu alipoingia akaambiwa Gorofa ya kwanza na ya tatu aina wapangaji kabisa na ni rasilimali tosha kuwekeza kwa nini tusitafute watu na kurekebisha zile ofisi akiwa na maneno matamu akaksema nipen muda sasa anastaafu mwezi wa tano kwa msiojua hili ameamua kuuza jengo..kana kwamba aitoshi aanaesimamia jengo la ATCL ni shemejie ambaye yeye ndie mwenye mamlaka ya kukubali kutumika ama lah..kwa kweli undugu na urafiki utamuumiza rais kikwete mpaka kaburini kwake

Ukweli binafisi ningependa ifanyike auditing ya hali ya juu pale ATCL..Kuna uchafu mwingi sana sana unaendelea na watu wamejiamulia kuiba kwa njia mbali mbali huku wakijihakikishia akuna atakaewagussa
imefika wakati sasa tuseme imetosha na wenye makosa si wawajibishwe tu waende ndani kwa uchafu waliofanya

Ndugu watanzania..pemben ya ofisi za ATCL kuna Hotel ya CITY GARDEN pale ndani yule msomali amepewa mkataba wa miaka kumi haina hata miwezi miwili ..na huku baadhi ya mameneja wa atcl wakila bure just kwa kusaini ..hili ni swala la aibu sana sana..ikumbukwe viongozi wa vyama vya wafanyakazi walilia sana kuomba upuuzi huu wa kumpa mmiliki miaka 10 usifanyike leo hii ..watu engine wakiamka kuelekea ofisini na kuanza kufikiria folen za magari na mchana aka lunch tym watakula wapi ..kuna wapuuzi wachache wanatembelea VOG/RANGE/VX Na kuhakikishiwa lunch ya bure pale CITY GARDEN

Mh waziri wakati umefika VIONGOZI WASIO WAADILIFU WAHUKUMIWE MAHAKAMANI NA SI KUACHISHWA TU HII AINA MAANA ...NASEMA HIVI KWA KUMAANISHA KAMA MTU ANAIBA MAMILION NA KUACHIWA AENDE NYUMBANAI HUKO SERIKALINI SI NDIO BALAA MH NUNDU
 
Mh. Nundu,

Kibarua hicho anza kuonyesha uwajibikaji hapo. Sio uanze longo longo zenu za kuunda Tume. Tumeshachoka na hizo tume zenu zisizo na tija. Hapa tume ni huyu mtoa mada hii. Inaonekana anajua mambo mengi kuhusu ATCK inavyoliwa na wajanja. Na ndiyo maana hali ya shirika hili kila kukicha afadhali ya jana!!!
 
Ndugu Huyu ni Tapeli Mwingine wa Siasa
Majuzi tulikuwa nae kwenye vikao anaulizwa maswalai akuna jipya analosema zaidi ya nipeni muda...mh mwenzake
mjomba wa kikwete alikuwa akijibu naomben nitafanyia kazi mpaka anaaga na sasa anadili na haki elimu sijui kama watapona..ni politics juu ya politics
 
give me a break..., hivi ni huyu jamaa enzi za Defao? haya ndio mambo yakisemwa kwenye mikutano ya hadhara eti ni uhaini.
 
huyu si ndio yule aliyelipuliwa weakleaks?mmmmh kazi tunayo na hawa mafisadi..
 
Hivi tunachelewa nini kutekeleza Peoples Power jamani? nishachoka CCm wanazidi kuiba tuuu
 
waandishi wa habari popote mlipo kuna mkutano wa hadhara muda si mrefu..na hili ni baada ya jf kutundika uhuni unaofanywa pale mjengoni atcl.waziri wa miunndo mbinu mh NUNDU amewasili hapa muda si mrefu na ameagiza kustopisha ujjenzii wa bureu de change ya mama mattaka ulioanza asbh leo na mapema kwa nguvu ya ajabu..waziri ameagiza telephone operator arejee kabla ya saa nane machana na kutak aelezwe kwaa maandishi nani alietoa kibali cha kujenga huo ujenzi....na baada ya hapo ameomba kuongea na waandishi wa habari
 
Eh! Aliijua hiyo isue? Au nae waziri alipataka hapo afungue saloon ya concubine ? Iweje azuke fasta hivyo
 
Tunashukuru sana mtoa mada kwa kutufungua macho kuhusu ATCL kwani nilikuwa najisikia aibu eti TZ hatuna shirika reliable la ndege kumbe ni watanzania wale waliokinai na hela za walipa kodi ndio hao hao wanaendelea kudonoa uchumi wa TZ. Ninataka niamini kuwa JK ameamua kutoongea na kujitolea kufa muhanga na uchumi wa TZ. Ninaamini analijua hili na kama hatafuatilia tunajua anayo siri ya huu uozo. Imefika mahali WaTZ tu RECLAIM OUR COUNTRY BACK kutoka kwa mbwa mwitu wanaoendelea kuirarua bila huruma. Tujipange sawa sawa na kuhamasishana ili 2015 tu- make changes.

Hivi Mustapha Nyang'anyi yeye ni nani haswa ATCL?
 
Yashababi
na mie noko hoi na mh..ngoja tusubiri
 
Waandiishi habari mnaitajika jengo la atcl now;waziri awasili mjengoni kushuhudia ujenzi
waandishi wa habari popote mlipo kuna mkutano wa hadhara muda si mrefu..na hili ni baada ya jf kutundika uhuni unaofanywa pale mjengoni atcl.waziri wa miunndo mbinu mh NUNDU amewasili hapa muda si mrefu na ameagiza kustopisha ujjenzii wa bureu de change ya mama mattaka ulioanza asbh leo na mapema kwa nguvu ya ajabu..waziri ameagiza telephone operator arejee kabla ya saa nane machana na kutak aelezwe kwaa maandishi nani alietoa kibali cha kujenga huo ujenzi....na baada ya hapo ameomba kuongea na waandishi wa habari​
 
Sasa tutaponea wapi wajameni??. Hebu wenye busara zao tusaidieni mawazo maana naona hata mimi mtumishi wa BWANA uzalendo utanishinda na naanza kupata hasira japo najua kuwa kutokana na mafundisho ya dini zote yanasema hivi HASIRA NI DHAMBI, aaaah kwa hili hapana.

Kila mahali wameweka mtu wao wa kupora mali zetu, ATCL imekufa kifo cha MENDE sasa, wafanyakazi kibao wameachishwa kazi kwa kuwa eti shirika haliwezi kulipa utitiri wa wafanyakazi waliokuwepo lakini kumbe bado kuna mapesa kiiiiibaooooo yanaliwa na wajanja wachache kwa manufaa yao na mabwana zao hii haiwezekani si HAKI HATA KIDOGO.

WATANZANIA AMKENI JAMANI NCHI HII YETU SOTE NA TUNAOPATA SHIDA NI SISI SOTE!.
 
Sasa tutaponea wapi wajameni??. Hebu wenye busara zao tusaidieni mawazo maana naona hata mimi mtumishi wa BWANA uzalendo utanishinda na naanza kupata hasira japo najua kuwa kutokana na mafundisho ya dini zote yanasema hivi HASIRA NI DHAMBI, aaaah kwa hili hapana.

Kila mahali wameweka mtu wao wa kupora mali zetu, ATCL imekufa kifo cha MENDE sasa, wafanyakazi kibao wameachishwa kazi kwa kuwa eti shirika haliwezi kulipa utitiri wa wafanyakazi waliokuwepo lakini kumbe bado kuna mapesa kiiiiibaooooo yanaliwa na wajanja wachache kwa manufaa yao na mabwana zao hii haiwezekani si HAKI HATA KIDOGO.

WATANZANIA AMKENI JAMANI NCHI HII YETU SOTE NA TUNAOPATA SHIDA NI SISI SOTE!.

Mpendwa usifike huko mitahl inasema hasira uleta upumba... usifike huko piga goti wataondoka tu
 
waandiishi habari mnaitajika jengo la atcl now;waziri awasili mjengoni kushuhudia ujenzi
waandishi wa habari popote mlipo kuna mkutano wa hadhara muda si mrefu..na hili ni baada ya jf kutundika uhuni unaofanywa pale mjengoni atcl.waziri wa miunndo mbinu mh nundu amewasili hapa muda si mrefu na ameagiza kustopisha ujjenzii wa bureu de change ya mama mattaka ulioanza asbh leo na mapema kwa nguvu ya ajabu..waziri ameagiza telephone operator arejee kabla ya saa nane machana na kutak aelezwe kwaa maandishi nani alietoa kibali cha kujenga huo ujenzi....na baada ya hapo ameomba kuongea na waandishi wa habari​

ingekuwa kila mtanzania akiona uozo mahali anapiga kelele huenda mambo yangebadilika!! Asante kwa kazi nzuri

be blessed
 
JF,
Kama ulifuatilia kulikuwa na habari kwenye magaze wiki iliyopita, yakidai kuwa "wafanyakazi wa Air Tanzania" hawaitaki Menejimenti na wameishauri Serikali iondoe menejimenti haraka!
Wasijue kuwa hawana wadhifa wa kuiamuru Serikali wala hawajui mipango ya Serikali juhudi zao ziligonga mwamba baada ya Waziri kujibu bayana kuwa "Too early to phase out ATC's Management"
Wazushi hao walifadhaika sana na sasa wameibukia kwenye JF kumwaga uzushi wao na sumu> Hawa ni watu hatari sana, na anayetaka ukweli akaulize kama mke wa Mattaka anania ya kuanzisha Bureau De Change.
Ushauri wangu wa bure kwao inaonyesha dhahiri walivyo na chuki binafsi! Wana mufilis wa mawazo mapya na wengi wao ni wazembe walio changia kulifikisha shirika hapa lilipo! na kwamba hata ikija Menejimenti gani vigogo vizee hivyo vitaendelea kuwa kikwazo cha maendeleo ya Kampuni, wengi wao ni wazee waliokwisha kata tamaa ya kimaisha na hawana muelekeo.
Ni vyema wakaeleza ukweli watu wajue, kuliko kupotosha umma eti na Breaking News Feki" Nawashauri wajitahidi kuboresha maisha yao na kuacha kupika majungu kila ku
kicha! Tuleteeni habari zenye kina na mizania hapa ni JF bwana sio kijiwe cha wazushi wazee!!!
 
ingekuwa kila mtanzania akiona uozo mahali anapiga kelele hudna mambo yangebadilika!! Asante kwa kazi nzuri

be blessed


bush baby
tatizo sio hilo yule mwendawazimu wa wizara ya elimu hivi sasa alipelekewa mpaka mikataba akataka kuuliza imepatikanaje akaambiwa ifanyie kazi akadai apewe muda sikuzani kama rais angemrudisha kwenye sekta muhimu kama elimu..hii ni udhalimu wa hali ya juu sielewi elimu ya mwisho ya rais kikwete ukiacha dk za kupewa..nasema hivi akuna kitu kibaya kulalamikia ubwege ulioandaliwa na *****..na unajua ni ***** ......,
 
JF,
Kama ulifuatilia kulikuwa na habari kwenye magaze wiki iliyopita, yakidai kuwa "wafanyakazi wa Air Tanzania" hawaitaki Menejimenti na wameishauri Serikali iondoe menejimenti haraka!
Wasijue kuwa hawana wadhifa wa kuiamuru Serikali wala hawajui mipango ya Serikali juhudi zao ziligonga mwamba baada ya Waziri kujibu bayana kuwa "Too early to phase out ATC's Management"
Wazushi hao walifadhaika sana na sasa wameibukia kwenye JF kumwaga uzushi wao na sumu> Hawa ni watu hatari sana, na anayetaka ukweli akaulize kama mke wa Mattaka anania ya kuanzisha Bureau De Change.
Ushauri wangu wa bure kwao inaonyesha dhahiri walivyo na chuki binafsi! Wana mufilis wa mawazo mapya na wengi wao ni wazembe walio changia kulifikisha shirika hapa lilipo! na kwamba hata ikija Menejimenti gani vigogo vizee hivyo vitaendelea kuwa kikwazo cha maendeleo ya Kampuni, wengi wao ni wazee waliokwisha kata tamaa ya kimaisha na hawana muelekeo.
Ni vyema wakaeleza ukweli watu wajue, kuliko kupotosha umma eti na Breaking News Feki" Nawashauri wajitahidi kuboresha maisha yao na kuacha kupika majungu kila kukicha! Tuleteeni habari zenye kina na mizania hapa ni JF bwana sio kijiwe cha wazushi wazee!!!


mkuu Dalilah

Unajua kutema mate sio lazima uwe na MIMBA unaweza tema mate hata ukiwa unakunya tatizo ni sehemu gani muhimu ya kutemea mate naomba tusaidie yafuatayo..sitaki kukita dhalimu ama fisadi wa ...unaesubiri kampuni ife upige kelele tulisema....

1)Naomba tueleze ule ujenzi ulioanza kwa kasi ni wa nini??ile ni ofisi iliojitegemea yenye fenicha zake na taa zake na kila kitu..nini kipya kinachoongezeka leo hii??

2))Kama ulifuatilia kulikuwa na habari kwenye magaze wiki iliyopita, yakidai kuwa "wafanyakazi wa Air Tanzania" hawaitaki Menejimenti na wameishauri Serikali iondoe menejimenti haraka!
Wasijue kuwa hawana wadhifa wa kuiamuru Serikali wala hawajui mipango ya Serikali juhudi zao ziligonga mwamba baada ya Waziri kujibu bayana kuwa "Too early to phase out ATC's Management"



PILI NAOMBA UJUE WAZEE HAWA HAWA NDIO WALIOKUWEKA WEWE HAPO ULIPO ...NA KAMA SI HAWA WALA USINGEKUWA ULIPO..NDIO MAANA MAMAKO/BABAKO ALIKUZAA UKAMWITA BABA/MAMA NA SIO WAO KUKUITA BABA/MAMA
UMESEMA HAPO JUU WAFANYAKAZI WAMESHAURI AWAITAKI MENEJIMENT..SITAKI KUKUSEMEA KIWANGO CHA ELIMU YAKO NA NDIO MAANA NASHINDWA KUKULALAMIKIA ILA NAKUMBUKA HATA BAIBO INASEMA WENGI WANAMJUA MUNGU ILA WANAPOTEA KWA KUKOSA MAARIFA ..KWA HIYO ELIMU YAKO AIJALISHI PHD,NK..KAMA HUNA UFAHAMU NI SHIDA SANA KWENYE MAISHA YAKO..NAAMANISHA NINI
"""""WAFANYAKAZI WASHAURI MENEJIMENT IONDOLEWE"""KUSHAURI SI LAZIMA ITIMIZWE KINACHOTAKIWA USHAURI UFIKE MAHALI HUSIKA ILI IKITOKEA TATIZO KESHO WAWE NA KUKUMBUKUMBU...SIO LAZIMA ""UPATE UKIMWI UJE KUFIKIRI ULIUPATA KWA MWANAMKE GANI""AMA GUEST GANI..NAHISI HAO WAZEE WANA HAKI YA KUJUA UMUHIMU WA KAMPUNI INAELEKEA WAPI KULIKO WEWE ULIEKUJA NA KASHULE CHAKO MSHINDO KINAKUFANYA UWE NA KIBURI CHA KUHAMA KESHO IKITOKEA LIMEKUFA

KAMA UMESOMA SHULE VYEMA ;KUJIBU MAPEMA KU PHASE OUT SIO KWAMBA INADUMU MILELE HIKI NI KISWAHILI TU KAMA ULITUMBUKIA KWENYE ""F"" CRDT HILO NI SWALA BINAFSI




Ushauri wangu wa bure kwao inaonyesha dhahiri walivyo na chuki binafsi! Wana mufilis wa mawazo mapya na wengi wao ni wazembe walio changia kulifikisha shirika hapa lilipo! na kwamba hata ikija Menejimenti gani vigogo vizee hivyo vitaendelea kuwa kikwazo cha maendeleo ya Kampuni, wengi wao ni wazee waliokwisha kata tamaa ya kimaisha na hawana muelekeo.
Ni vyema wakaeleza ukweli watu wajue, kuliko kupotosha umma eti na Breaking News Feki



YAWEZEKANA KWAKO NI KITU CHA KAWAIDA NA SI BREAKINGNYUZI KWA KUWA UKO KWENYE PAYROLL YA MZEE KWA HILI SILO GENI KWAKO..M NASHAURI KAMA MZAZI WAACHE WAZEE WAKUSAIDIE KULIOKOA HILI SHIRIKA NAJUA NI MAPEMA SANA KUKUSHAURI


Ni vyema wakaeleza ukweli watu wajue, kuliko kupotosha umma eti na Breaking News Feki" Nawashauri wajitahidi kuboresha maisha yao na kuacha kupika majungu kila kukicha! Tuleteeni habari zenye kina na mizania hapa ni JF bwana sio kijiwe cha wazushi wazee



NAFIKIRI UKIWA KAMA MDAU WA HAPO UNGETUSAIDIA KUTUPA UKWELI HALISI WA HIYO SEHEMU NA SIE TUTAWEKA UKWELI WETU HALISI IKIWEZEKANA ILA USIKIMBIE WALA KUULIZA ZIMETOKEA WAPI...NASEMA HIVI KWA KUWA WATANZANIA WAMECHOKA NA NAHISI KABLA YA WEWE KULIMALIZA SHIRIKA SIE TUTAANZA.KUWAMALIZA...UNAJUA IFIKE WAKATI MUOGOPEN HATA MUNGU BASI WACHILIA BABU WA LOLIONDO MNAKOKIMBILIA KUOGOPA MAGONJWA YENU YA MISRI YASILIPUKE..EMBU JIANGALIE UNAUA SHIRIKA KESHO WANAO WANAKUJA WANAOMBA AJIRA KWENYE JENGO KAVU BILA NDEGE WALA WATU..AMUONI MNATAFUTA LAAANA..NAKUSHAURI HATAAKAMA WAMEKUTUMA WAKATI MUAFAKA WA WEWE TUELEZE MNAJENGA NINI NA VIELELEZO KABLA YA KUKULETEA USHAHDI WA MAANDISHI

 
Back
Top Bottom