Matron wa Alfagems Sec School Morogoro

ya nini dogo?isiwe unataka kutorosha mabinti.maana matron na walinzi ndo dili zao hizi
 
Mwanangu amefika pale sasa hv kaambiwa hostel zimeisha sasa nataka kufanya mawasiliano na matron kupata uhakika.
 
Tazama kwenye joining instruction unaweza kupata namba ya simu ya utawala nao watakuunganisha kwa matron wao
 
Piga hizo namba kama hauna kujaribu, nimezitoa now kwenye website yao. Kila la kheri..

ALFAGEMS SECONDARY SCHOOL

P.O.Box 6083 – MOROGORO

Tel. 0765-899959 / 0713-784600

www.alfagems.com
 
Back
Top Bottom