Matrafiki wa Tanzania hawajui wanachokifanya

Lugola anakutafuta....
Traffik Tanzania ni wajinga na wapumbavu. Nasema hivyo kwasababu hawajui wanachokifanya. Nipo mataa ya mwenge toka saa 11 jion na sasa ni saa 1 usiku. (31 oct 2019)

Traffik wewe mpumbavu unaruhusu gari za kutoka mjini kwenda Tegeta na kusababisha foleni ndefu sana ya magari yanayotokea ubungo (Sam Nujoma) na kutokea Cocacola road.

Trafiki hamjui kuwa kazi yenu ni kuondoa foleni na sio kusababisha foleni. Unaporuhusu gari za upande mmoja tu inadhihirisha upumbavu wenu nyie matrafik.

Haya ndio madhara ya serikali kuajiri mapolisi ambao 99% kati yao ni form 4 failures.
 
Comment yangu ndiyo iliyopata like nyingi na ndiyo iliyopata reply nyingi pamoja na kuiandika harakaharaka

Asee katafute post za mtu anaitwa Kidukulilo then angalia comment anazobebaga halafu utarudi niambia

Anachoandikaga kidukulilo kina maana gani au kinakusaidia nini wewe msomaji?

Usifate likes humu JF maana huku watu likes wanazitoa tu so usizifatilie sanaaaaa zikakuchanganya.
 
Asee katafute post za mtu anaitwa Kidukulilo then angalia comment anazobebaga halafu utarudi niambia

Anachoandikaga kidukulilo kina maana gani au kinakusaidia nini wewe msomaji?

Usifate likes humu JF maana huku watu likes wanazitoa tu so usizifatilie sanaaaaa zikakuchanganya.
Like maana yake nini?
 
Sasa wewe unaeandika harafu badala ya halafu,mkubari badala ya mkubali unawasema traffic mbumbumbu,kweli???kweli nyani haoni kundule,hiyo degree yako au form 4 pass yako sijui imekusaidia nini ilhali hata kiswahili fasaha hujui kuandika,so sad.
Bila shaka wewe utakuwa traffic pia na utakuwa ni wale ambao hawana kitu kabisa begani, naona tu unavyotoa povu afande

Tena wewe utakuwa hata fomu foo felia hauna maana sio kwa huo mwandiko wako pot lakini ukweli utabaki kuwa ukweli mnakera sana aisee harafu haimanishi kuwa kufeli kwako eti huwezi ongoza msafara wa kiongozi 70% ya watanzania wamezaliwa vijijini na wamelelewa na mama ambao wengi wao hata shule hawana ila wamekuwa vzr tu

Sasa hata nyie mkubari kuwa wengi wenu ni mbumbumbu tena haswaaa! yaani hamna shule kabisa japo kuna mengine mnayafanya vzr pia
 
Bila shaka wewe utakuwa traffic pia na utakuwa ni wale ambao hawana kitu kabisa begani, naona tu unavyotoa povu afande

Tena wewe utakuwa hata fomu foo felia hauna maana sio kwa huo mwandiko wako pot lakini ukweli utabaki kuwa ukweli mnakera sana aisee harafu haimanishi kuwa kufeli kwako eti huwezi ongoza msafara wa kiongozi 70% ya watanzania wamezaliwa vijijini na wamelelewa na mama ambao wengi wao hata shule hawana ila wamekuwa vzr tu

Sasa hata nyie mkubari kuwa wengi wenu ni mbumbumbu tena haswaaa! yaani hamna shule kabisa japo kuna mengine mnayafanya vzr pia
Haya wewe msomi wa PHD taaluma ya ya lugha haya ni baadhi tu ya maneno yako" fomu foo felia, mwandiko, pot, aisee, harafu,, kufeli,, vzr mkubari, haswaaa!',. Haaaaaaaaa aaaaaaaa..Wasomi mnaleta raha sana.
 
Traffik Tanzania ni wajinga na wapumbavu. Nasema hivyo kwasababu hawajui wanachokifanya. Nipo mataa ya mwenge toka saa 11 jion na sasa ni saa 1 usiku. (31 oct 2019)

Traffik wewe mpumbavu unaruhusu gari za kutoka mjini kwenda Tegeta na kusababisha foleni ndefu sana ya magari yanayotokea ubungo (Sam Nujoma) na kutokea Cocacola road.

Trafiki hamjui kuwa kazi yenu ni kuondoa foleni na sio kusababisha foleni. Unaporuhusu gari za upande mmoja tu inadhihirisha upumbavu wenu nyie matrafik.

Haya ndio madhara ya serikali kuajiri mapolisi ambao 99% kati yao ni form 4 failures.
Mi waliwahi kunikamata chalinze saa tatu usiku natokea Moshi wakataka kuni takatisha eti nasafiri umbali mrefu pekeangu. Muda huohuo uruhusiwi kubeba abiria Hii nchi hii.
 
Mi waliwahi kunikamata chalinze saa tatu usiku natokea Moshi wakataka kuni takatisha eti nasafiri umbali mrefu pekeangu. Muda huohuo uruhusiwi kubeba abiria Hii nchi hii.
Mkuu wewe ni mtu mzima bana ukiona unahangaishwa sana jiongeze.halafu ile hela sio ya kuja kuilalamikia humu ni charity tu
 
Sasa wewe unaeandika harafu badala ya halafu,mkubari badala ya mkubali unawasema traffic mbumbumbu,kweli???kweli nyani haoni kundule,hiyo degree yako au form 4 pass yako sijui imekusaidia nini ilhali hata kiswahili fasaha hujui kuandika,so sad.
Tanzania mataahira wengi sana, aliyekuambia kwamba usomi unapimwa kwa lugha nani? au unadhani wote tumesoma kwa Kiswahili na Kiingereza?
 
Back
Top Bottom