LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,145
- 11,191
Range rover za zamani zilikuwa na hadhi ya kiume yani ukiendesha barabarani utasikia mwanaume huyo kapita. Unaweza ukawa na mke wako kwenye kivitz chenu ukamsikia mkeo anakwambia "umemuona mwanaume huyo kwenye Range"
Tofauti na Range rover za sasa hazina tofauti na Rav 4 yaani, wamezipunguza umbo alafu zina muonekano wa kike kabisa yaani ukiendesha mwanaume huwezi kuwa na heshima kama ile uliyokuwa unaipata zamani
eti ndio toleo lao jipya
Sasa inatofauti gani na rav 4 new model hiyo
Rav 4
Sent using Jamii Forums mobile app
Tofauti na Range rover za sasa hazina tofauti na Rav 4 yaani, wamezipunguza umbo alafu zina muonekano wa kike kabisa yaani ukiendesha mwanaume huwezi kuwa na heshima kama ile uliyokuwa unaipata zamani
eti ndio toleo lao jipya
Sasa inatofauti gani na rav 4 new model hiyo
Rav 4
Sent using Jamii Forums mobile app